Charles1990
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 249
- 46
Wakuu mimi nimeshajaribu kutafuta njia mbalimbali za kupata hela kwa kutumia internet kama kufanya survey mbalimbali na kujaribu bidhaa mpya.Lakini katika nafasi hizo nimekutana na mambo matatu makubwa:
1> Zinakuwa ni kwa ajili ya nchi ambazo sio za Afrika(nimewahi kukutana na moja tu,tena kwa bahati sana,ambayo ilikuwa ni worldwide.Hata hivyo hiyo hela sijaiambulia hadi leo)
2> Unalazimika kulipa kiwango fulani cha pesa ili upate mafunzo yatakayokuwezesha kupata nafasi hiyo.(nina wasiwasi wa kulipa hela katika kitu nisichokielewa vizuri nisije nikaingizwa town bila kuwa na wakunipokea)
3> Malipo mengi yanakuwa yanafanyika kwa njia ya posta ndio maana inakulazimu kuwa unaishi huko kwa wenzetu ili uweze ku-qualify. Pia hata katika hizo ambazo mtanzania unaweza kushiriki wanakuambia kwamba malipo yanafanyika kwa benki, kitu sidhani kama benki za Tanzania zinafanya.Kama kuna benki inayoweza kupokea fedha iliyotumwa kutokea benki za nje bila mlolongo ningependa kuifahamu.
Pia ningependa kujua Zip code kwa Tz inakuwaje?
Naombeni sana wakuu.Nina hakika humu ndani kuna ambao mnatumia Internet kupata hela,ni vizuri tukashirikishana jamani.
Sio lazima iwe hela nyingi.Nipo tayari hata kutengeneza $5 tu kwa siku.Pia naomba mwenye uwezo wa kunitatulia hayo matatizo hapo juu anisaidie.
Help me guys!Please
1> Zinakuwa ni kwa ajili ya nchi ambazo sio za Afrika(nimewahi kukutana na moja tu,tena kwa bahati sana,ambayo ilikuwa ni worldwide.Hata hivyo hiyo hela sijaiambulia hadi leo)
2> Unalazimika kulipa kiwango fulani cha pesa ili upate mafunzo yatakayokuwezesha kupata nafasi hiyo.(nina wasiwasi wa kulipa hela katika kitu nisichokielewa vizuri nisije nikaingizwa town bila kuwa na wakunipokea)
3> Malipo mengi yanakuwa yanafanyika kwa njia ya posta ndio maana inakulazimu kuwa unaishi huko kwa wenzetu ili uweze ku-qualify. Pia hata katika hizo ambazo mtanzania unaweza kushiriki wanakuambia kwamba malipo yanafanyika kwa benki, kitu sidhani kama benki za Tanzania zinafanya.Kama kuna benki inayoweza kupokea fedha iliyotumwa kutokea benki za nje bila mlolongo ningependa kuifahamu.
Pia ningependa kujua Zip code kwa Tz inakuwaje?
Naombeni sana wakuu.Nina hakika humu ndani kuna ambao mnatumia Internet kupata hela,ni vizuri tukashirikishana jamani.
Sio lazima iwe hela nyingi.Nipo tayari hata kutengeneza $5 tu kwa siku.Pia naomba mwenye uwezo wa kunitatulia hayo matatizo hapo juu anisaidie.
Help me guys!Please