HT:timu imecheza vizuri sana...Isco disco ametawala sana kati kuelekea mbele akishirikiana vyema na modric,kroos na mlinda beki cas....tumetulia sana...timu ikiwa na mpira unaoana kabisa haina papara na ipo makini katika kitoa pasi...mapungufu ni kidogo haswa kwa mchezaji binafsi ambaye ni benzema...akipata mpira hajui afanye nini,nafikiri sub yake akiingia Lucas au Ansesio siyo mbaya...ila hadi hapa timu imetawala vyema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.