Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Kuku wangu ostadhi wa nini?Umeamua kuwafuata kwao kbs
Kweli hupendagi ujinga
Kuku wangu ostadhi wa nini?Umeamua kuwafuata kwao kbs
Kweli hupendagi ujinga
swadaktaKuku wangu ostadhi wa nini?
Tetesi
Real licha ya kuhusishwa na mchezaji wa Manchester United David de Gea, pia wanarajiwa kumsaini kipa wa Athletic Bilbao Kepa Arrizabalaga, 23 mwezi Januari. (Marca)
Hamna mashindano ambayo huwa ninaiamini hii timu kama mashindano ya UEFA hawa wachezaji huwa hawataki kabisa kuharibu rekodi, na sitastaajabu wakifanya kile ambacho watu wengi hawaamini kinawezekana. Kama PSG juzi wamepigwa na Bayern tungoje wakatiMech ya kwanza tutaweka viunvo wa5,casemiro,modric,isco,tonny na ansensio,hapo ndipo mtakapo ifaham Madrid vzr