mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
And MorataWe miss you James Rodriguez
And MorataWe miss you James Rodriguez
Cr7 vp nae aliposhika hukuona?That is why VAR should be implemented sooner than later, Italy wameanza na leo game ya ROMA vs Lazio imeamuliwa kwa VAR. Leo Juanfran kashika zaidi ya kipa ila hakuna iliyoitwa!
Zote ilibidi ziwe reviewed na kutolewa uamuzi accordingly, VAR itakua in effect soonCr7 vp nae aliposhika hukuona?
Sasa mbona umemsema godin tu wakati kunyinge pia ton kroos alishika acha unafiki mkuuZote ilibidi ziwe reviewed na kutolewa uamuzi accordingly, VAR itakua in effect soon
Mi kwa nilivyoona na kumsikia commentator naona hazikuwa penati. Cr7 mpira ulimpiga mkono kwa nyuma akiwa amegeuka. Haingeweza kuwa penati. Buti la pua kwa Ramos ule mpira ulikuwa hata kwa mguu umachezeka siyo kwamba jamaa alicheza mpira wa kichwa kwa miguu. Ule mkono wa Savic ni clear ball to hand. Mkono wake hakutikisa hata kidogo. Hozo tatu naona refa alikuwa sahihi kabisa kutotoa penati.Cr7 vp nae aliposhika hukuona?
Huu ndio ulikuwa wakati wa kina Morata na J. Rodriguez kushine. BBC kwisha habari yao.Yaani tumekosa finisher wa uhakika.
Ujanja ujanja wa diver Ronaldo umefika mwishoHuu ndio ulikuwa wakati wa kina Morata na J. Rodriguez kushine. BBC kwisha habari yao.
Wanasema no Penalty no Penaldo goal and Madridista ain't gonna party.Ujanja ujanja wa diver Ronaldo umefika mwisho
This year hawabebekiWanasema no Penalty no Penaldo goal and Madridista ain't gonna party.
That is why VAR should be implemented sooner than later, Italy wameanza na leo game ya ROMA vs Lazio imeamuliwa kwa VAR. Leo Juanfran kashika zaidi ya kipa ila hakuna iliyoitwa!
Msishangae mnamaliza ligue bila kikombe chochotenjia ya ubingwa imeota visiki, miba mbigili cjui kma mwaka huu tuta toboa