Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jana tumecheza hovyo nadhani bado si mbaya mourinyo akija na mentality ya jana kwenye super cup ita mgharimu .HALA MADRID

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kwanza vijana wanacheza pamoja tangia final ya UCL, ukitegemea kuwa wametoka kwnye mapumzimko sio mbaya, game inayofuata ndio nitaichukulia kwa umakini kidogo, so sio mbaya sana kwa game ya kwanza tena ya kirafiki
 
Amejitahidi sana ni tegemeo la baadae kwa nafasi anayocheza,anaweza akamsaidia carvajal kama akiendelea hvyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo siku zote anapiga kazi hivyo hivyo, anapenda sana kwenda kushambulia, kama umefuatilia game za Castilla ama under 19s utakuwa unanisoma. Mwanzoni kabisa kama club ilikuwa ilitaka kumtoa kwa mkopo akapate uzoefu, sasa ninaona kuna ukimya juu ya hilo, ninadhan kati huyu Dogo na Alvaro Tejero kuna mmoja ataziba pengo la Danilo
 
Cristo Gonzalez (19) is in Madrid to sign his contract with the club. He'll join Castilla from Tenerife.

DFh36xgUQAAWTwD.jpg:large
 
Real Madrid reach principle agreement with Monaco for €180m Mbappe deal
15009772618012.jpg

The football transfer world record is set to be smashed as Real Madrid are understood to have agreed a 180 million euro deal with Monaco for Kylian Mbappe.

Pending the potential 222m euro transfer of Neymar to Paris Saint-Germain, this move would beat the 105m euro record set by Paul Pogba last year as Los Blancos hope to seal the striker's signature in a matter of days.

Set at 180m euros, Mbappe's fee will be split down to 160m euros up front with 20m euros worth of add-ons as the Frenchman pursues his career at Madrid, although the value of those variables may be higher, towards 30m euros.

Monaco had originally requested 190m euros but now coach Zinedine Zidane has given his blessing to the new agreement in principle, following a meeting with club president Florentino Perez and general director Jose Angel Sanchez out in Los Angeles.

The move comes after Alvaro Morata left for Chelsea for a fee of 80m euros, opening the way for Mbappe to challenge the BBC dominance at Real, with the teenager thought to desire an immediate transfer rather than a year's loan back in Ligue 1.

Earning 7m euros net per year on a six-year contract, the progress on Mbappe's LaLiga switch comes amid Monaco's public statement against 'great European clubs' making illegal advances for the player's signature, which was believed to be a veiled reference to meetings with Manchester City boss Pep Guardiola.

The Citizens look to be out of the equation now as they are aware of the starlet's close proximity to a Real move, with PSG also struggling to convince their French counterparts to sell to a domestic rival as they focus their efforts on Barcelona's Neymar
 
Real Madrid huwa ni wehu na wanapoteza hela za bure kabisa
Wachezaji wote walio nunuliwa kwa bei ghali hawajafanya la maana lolote lile
Angalia Bale, James
Huyu wanayetaka mnunua atakuwa flop of the year
Naona anunuliwe afu awe flop ili huo ujinga uoshe
 
Back
Top Bottom