Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,118
As's Cover | "Allegri: Isco is much more technical than Bale."
Naona jamaa watakuwa wamecheck mechi zetu na kuevaluate wachezaji wetu maana hiyo ishu ya Isco hadi chiellini alishasema anamuhofia zaidi Isco na nimeona mitandaoni hadi italian media zikimdiscuss Isco,ila yupo sahihi maana Isco has got some Technics...bale ana speed sana(hili linafahamika kutokana na timu aliyotokea Spurs wana mchezo wa speed) lakini amekosa some technics...but in many occasions speed yake imetusaidia sana.