Kwa Atletico ndipo mtasaga meno kabisa.Yeah next timeee... Tuwasubiri atletico tuuu
Kwa Atletico ndipo mtasaga meno kabisa.Yeah next timeee... Tuwasubiri atletico tuuu
Mkuu, tafuta panadol za kenya, meza hizo, ni nzuri sana.true yaan jaman nadhan nachanganyikiwa
sjielewi elewi, why lakin? why!!?
furesh mwananguMkuu, tafuta panadol za kenya, meza hizo, ni nzuri sana.
Aisee hii kitu sio mchezo eti, uliza ni mashabiki wangapi wa Arsenal wameishajiondoa na vitanzi shingoni?hahahaha
tek it easy mwanangu,sidhan kana hayo maneno anaweza kuyatamka sehem mbaya
Nataman zidane akose makombe yote msimu huu...Messi yuko individual sana, tulitakiwa kukaba tuanzie mbele game yetu hii, lakini Cristiano ana preassure ya Bao, Bale pancha Benzema wenyewe sijui inakuwaje mpaka anakuwa kwenye first eleven kila siku, lazima watu kama Casemiro wapewe card.
Ndio ujiulize mkulu anampendea nin bashiteIvi kwa nn Zidane huwa anampenda benzema, wakati mtu mwenyewe ameshajichokea tuu
bos mimi mpaka sasa napata maumivi nadhan kama niko kwenye electric chair, ot hurts yaan huwez kuamini, nime zima taa nilale usingizi haujiAisee hii kitu sio mchezo eti, uliza ni mashabiki wangapi wa Arsenal wameishajiondoa na vitanzi vingoni.
We are too emotional. Sometimes too emotional with things even doesnt resemble with our lives.
Kupanga ni kuchagua.
Lipumbafu kweli hiloo, benzema na cr7 siyo wa kuanza pamoja kwenye mechi kama hizi.Zidane please, kama unasoma humu JF mpeleke huyu Benzema bench
Analeta ubashite kwenye maslahi ya timu.Ivi kwa nn Zidane huwa anampenda benzema, wakati mtu mwenyewe ameshajichokea tuu
Kwa upumbafuu huu aliofanya tangu uefa na Bayern, atletico wanatuondoa mapema sana. Asipojua kutenganisha maslahi ya timu na utaifa vitamgharimu sana ktk career yake ya ukocha.Yeah next timeee... Tuwasubiri atletico tuuu
Kwwli kijana zidane nimemchukia sana hata akichukua vikombe vya liga na uefa nitamchukia sana anaudhi mpaka unakosa usingizi. Yaan nimeumia mno. Benzema sana nini ? Asensio na morata no wazuri sana. Hasa ukiangalia ile goli la asensio dhid ya Bayern Munich. Fan wa Madrid wampinge benzema aondokeNataman zidane akose makombe yote msimu huu...
Unaleta ukabila kwenye maslahi ya timu. Morata anabaki nje libenzima linarukaruka tu uwanjani kiss ni lifaransa lenzake. Ukabila unagharimu timu ,hata mm wa kolomije siwez Fanya huu UJINGA.
Ninao n ndio maana wamenda kulala wakaniacha sebuleni kila kitu kina nafasi yake mkuu! anyway niliumia jana ila now nampenda mke wangu zaidiMkuu unafamilia, I mean mke na mtoto/watoto?
Nilijua wachangiaji wataongezeka baada ya mechi ndo maana nilizima data kabisa nikaenda kulala! kila umivu lina maumivu yakebro umewahi shabikia timu ikafungwa!!? hasa unayo ipenda!!?
unaweza kukuta wote hamja experience kila mtu anacho feel inaumaaaaa kufungwaaaaa
Hahhahaha leo hyo! kwani messi huyu wa elclassico ni tofauti na wa uefa?huyu messi mpira huu ataucheza hata kama anamiaka 40.maana ndo yupo hivyo tokea tumboni kwa mama yake tokea alivyokuwa just a sperm aliwapiga chenga wenzake akazama kwenye yai
Well! kumbe ulipitiliza kimawazo! btw hizi ni lugha mpirani mkuu huwa tunaumia muda huo, the good thing is..... Alirudisha furaha nilipoenda kitandaniMkuu I do feel the pinch, ila kuna vitu vya kulinganisha. Hivi mfano tuseme wewe ni mtoto na upo na Baba yako mnaangalia hii game alafu wewe labda ukawa unashabikia Barca mzee anashangilia Madrid, then baada ya kufungwa Mshua akachana mistari kana ya jamaa hapo juu tena kwa kumaanisha kweli kwamba ni bora angedanja mama yako, machumgu kwake yangekuwa kidogo kuliko ilivyofungwa Madrid.
Swali: Wewe kama mtoto au pengine ukute na mama yako yupo hapo, mngejisikiaje au mngefanya nini?