Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,073
- 5,115
Game ya leo kidogo ni ngumu kwa kuwa jamaa wapo nyuma wengi sana, so aina ya goli alilofunga Modrić ndio yatatupatia ushindi,
Hizi ndio shuguli zetu12 We are Supercopa Champions
View attachment 2084391
Tukipenya round of 16 UEFA yetuHala madrid turudi tukaisake la liga na copa de rey.. uefa sidhani kama tutafika mbali
Tukipenya round of 16 UEFA yetu
Jamaa alilalamika sana, niliona akiomba refa aangalie marudio ya picha ila bado jamaa alikomalia uamuzi wake.,Kwa mara ya kwanza nimeona Marcelo akipigwa red card.