Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,089
- 5,160
Mbona tumeshinda sasa!!Leo intermilan wanatakiwa watuoneshe udhaifu wetu wote. Timu tunacheza nyuma ya mpira sana intermilan wame tuwin
Ni kama alivyo sema Ancelotti tu, kuwa kuna muda unashida kwa kucheza vibaya na kuna muda unashida kwa kucheza vizuri pia,suala la msingi sana na kushinda,ishu ya team kutocheza vizuri inategemea na vitu vingi ila inarekebishikaMbona tumeshinda sasa!!
Lakini kama huchezi vizuri na unashinda inakuwa ni suala la muda tu kabla hiyo bahati haijaondoka.Ni kama alivyo sema Ancelotti tu, kuwa kuna muda unashida kwa kucheza vibaya na kuna muda unashida kwa kucheza vizuri pia,suala la msingi sana na kushinda,ishu ya team kutocheza vizuri inategemea na vitu vingi ila inarekebishika
Mbona tumeshinda sasa!!
Mkuu tunacheza tukiwa na mipango mingi sana. Mechi mfululize tena ngumu zinachangia kwa kiasi kikubwa sana. Game zetu nyingi tunacheza kwa taadhari kuepuka kadi kwa baadhi ya wachezaji, uchovu na kadhalka.Ulitizama mechi? Naomba kufahamu hasa kipindi cha kwanza
Maisha haya siamini Barca watakua wanacheza na Sheriff ThursdayOya watani, team yenu sio nzuri sana. Ila mnapata matokeo kwenye mechi zote muhimu. Naona mkichukua Laliga msimu huu.
Acha mimi niende Allianz Arena leo nikachukue tiketi ya Europa league. Maisha yanaenda kasi sana asee!
Barcelona inatia hurumaHizi ndio timu kubwa spain kwasasa.......
hao barcelona sio wa kuwaonea huruma kabisa.....ni sawa na tajiri aliekuwa anany'ang'anya wake za watu na mali za watu pindi akifulia ni neema wala sio simanzi.....Barcelona inatia huruma
Tumaini ni moja tu Ushindi.,Hala madrid, derby ya leo tunaenda kucheza na atm madrid yenye energy na molari ya ushindi.
Hope timu yangu haitoniangusha
Real Madrid ni team kubwa siku zote sio Spain tu, Ulaya na Dunia nzima., kuna kipindi tunakuwa na msimu mbaya lakini hatupoteani kama jamaa zetu kwa kweli, jamaa wamekosa mwelekeo kabisa, ni wapinzani zetu ila siombei sie kufikia huko walipofika.,Hizi ndio timu kubwa spain kwasasa.......