Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,089
- 5,159
Goooooal., Vinicius Junior, namna hiyo.,
Real Sociedad 0-1 Real madrid
Real Sociedad 0-1 Real madrid
Namna hiyo Mkuu., acha vijana wapate mapumziko kidogo kisha next week wakiwashe tena dhidi YA Inter MilanAnother 3 sure points 💪
Naona Benzema katoka too early 17th min’, ain’t sure kama ni serious injury!Namna hiyo Mkuu., acha vijana wapate mapumziko kidogo kisha next week wakiwashe tena dhidi YA Inter Milan
Yupo Mzee, ana kazi ya kupasha bench moto, yaani kwasasa amedrop kweli kweli, ili apate nafasi ya kucheza ni asiwepo Rodrygo ama Asensio, hao ndio size yake kwasasa., amekuwa kama Isco tu kwa kweli, Isco hadi Antonio Blanco yupo juu yake kwenye pecking order.,Wakuu hivi Eden Hazard our promising 'Ronaldo replacement' yuko wapi siku hizi!
Marcelo full back wetu Legend wa kushoto kwa miaka kibao unasema aondoke?Yupo Mzee, ana kazi ya kupasha bench moto, yaani kwasasa amedrop kweli kweli, ili apate nafasi ya kucheza ni asiwepo Rodrygo ama Asensio, hao ndio size yake kwasasa., amekuwa kama Isco tu kwa kweli, Isco hadi Antonio Blanco yupo juu yake kwenye pecking order.,
Kama inawezekana January kama vp club imruhusu tu yeye pamoja na wenzie Marcelo, Isco, Mariano Diaz na Bale waondoke tutafute damu changa, hawa jamaa wameshachoka na kukata tamaa.
Marcelo ni legend hilo hata halina shaka, ila muda umemtupa mkono Mkuu, ni kwa heshima tu man unaona yupo hata bench, ila kiukweli ninadhani Ancelotti anaweza kumpa nafasi Miguel na kumuacha Marcelo nje.,Marcelo full back wetu Legend wa kushoto kwa miaka kibao unasema aondoke?
Kuna waku-replace nafasi yake upande wa kushoto?
Back wa kupanda na kushuka!
Anaenda anatengeneza cross kisha anarudi kulinda!
Kuna mbadala wake kwa sasa? Nani, Nacho Hernandez???
Hata ISCO unavosema aondoke mie napinga. Isco anatakiwa avae viatu vya Modric pindi atakapostaafu.
Well said Marcelo bado ana mchango mkubwa sana sio wa kuondokaMarcelo full back wetu Legend wa kushoto kwa miaka kibao unasema aondoke?
Kuna waku-replace nafasi yake upande wa kushoto?
Back wa kupanda na kushuka!
Anaenda anatengeneza cross kisha anarudi kulinda!
Kuna mbadala wake kwa sasa? Nani, Nacho Hernandez???
Hata ISCO unavosema aondoke mie napinga. Isco anatakiwa avae viatu vya Modric pindi atakapostaafu.
Mkataba wake unaisha msimu ujao, sioni akipewa mkataba mpya, kwanza ukizingatia kwasasa ana majeraha ya mara kwa mara sina uhakika na hilo, sema kwa upande wangu licha ya mchango wake mkubwa, ikitokea anatakiwa kusepa Mimi ninaona ni sawa tu, tunahitaji damu changa ya kumpa changamoto Mendy.Well said Marcelo bado ana mchango mkubwa sana sio wa kuondoka
Dogo anisamehe ameni prove wrong nlikua namtukana sana zamaniVinicius kwasasa yupo kwenye ubora wake plus ana confidence ya kutosha, Ancelotti amempa Uhuru wa kutosha, jambo jema ni kwamba Uhuru wake hauleti shida kwa team, so ni jambo jema kwa Madridistas kuona vijana wetu wanafanya vizuri uwanjani.
Haukuwa peke yako Mkuu, Kijana alikuwa anazingua sana, anafanya vitu vizuri ila sasa akifika eneo la adui, either apoteze mpira kwa pass isiyokuwa na macho ama ampasie golikipa wa team pinzani, kuna mpaka kipindi Benzema na Mendy waliingia matatani baada ya camera kuwanasa wakimteta dogo kuwa hachezi nao, yeye ni mpinzani.,Dogo anisamehe ameni prove wrong nlikua namtukana sana zamani