Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,581
Mama Debora hujambo!, greetings from this side...
Karibu. Nipo jikon napika njegere naweka na karanga. Kisha napika wali.
Mama Debora hujambo!, greetings from this side...
Bi dada ili baselona waongoze ligi inabidi mechi ijayo #35 tufungwe kisha mechi #36 tutoe draw.....baada ya hapo sisi tutakua tunaongoza ligi huku tukilingana kwa points....Acha ujinga. Tukipoteza game moja probability ya Barca kubeba ndoo inaongezeka. Mfano game inayokuja tupoteze ndio utaona upepo unavogeuka!
Duh how i wish kuona hilo pishi la njegere na karanga thank you enjoy.Karibu. Nipo jikon napika njegere naweka na karanga. Kisha napika wali.
Wewe kama mpenda soka hunasababu ya kununua mwenzio akishinda. Sehemu la liga ilipofikia kila mtu ashinde mechi zake....Tatizo Barca nao kila game wanashinda tu! Wananikera kweli. Jana wameshinda NNE moja. Yaani tukipoteza game moja tu basi ndoo tunaikosa tena kwa mara ya 5 mfululizo.
Wewe kama mpenda soka hunasababu ya kununua mwenzio akishinda. Sehemu la liga ilipofikia kila mtu ashinde mechi zake....Tatizo Barca nao kila game wanashinda tu! Wananikera kweli. Jana wameshinda NNE moja. Yaani tukipoteza game moja tu basi ndoo tunaikosa tena kwa mara ya 5 mfululizo.
Imeishia hioBi dada ili baselona waongoze ligi inabidi mechi ijayo #35 tufungwe kisha mechi #36 tutoe draw.....baada ya hapo sisi tutakua tunaongoza ligi huku tukilingana kwa points....
Ili wachukue ubingwa itabidi mechi #37 au 38 tufungwe au tudraw.....
Note:Wakati tunapepesuka hivi wao inabidi wao washinde mechi zooote.
Conclusion:La liga inabebwa na Madrid msimu huu
Alafu anakwambia kila game Baca wanashinda wakata washatoa droo mara 3. Sisi tumeshinda zote. Ndio mana nasema hajui anachoandikaWewe kama mpenda soka hunasababu ya kununua mwenzio akishinda. Sehemu la liga ilipofikia kila mtu ashinde mechi zake....
Kama Barca atashinda mechi nne zoote zikizobaki, atakuwa na jumla ya point 85.
Tunahitaji kuwa na points sawa na barca au tmzidi ili tuchukue ndooo.
Minimun, katika game 4 zilizobaki, tubebe point 8 kati ya 12.
Win x 2
Draw x 2
Tunaweza tu kushinda hizi gem 2 zinazofuata dhidi ya alaves na leganes then tuskilizieZile mbili za home tunatakiwa tushinde zote ..afu za away tuitafute draw
Tunaweza tu kushinda hizi gem 2 zinazofuata dhidi ya alaves na leganes then tuskilizie
SawaWazee wa kubebwa