The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Ni 3 finals n tu1. Real Madrid (77)
2. *Catalans (70)
3. Atletico Madrid (62)
4 FINALS LEFT!
Ni 3 finals n tu1. Real Madrid (77)
2. *Catalans (70)
3. Atletico Madrid (62)
4 FINALS LEFT!
Kweli mkuu kwenye issue ya kutengeneza magoli, ila ukumbuke tunacheza kwa umakini sana, inabidi ku balance fatigue, defence na attack.Big step. Ingawa timu yetu haiko vizuri kwenye kutengeneza mashambulizi
We need two winning matches kutangaza ubingwa. Kama tunabebwa basi nao wakapunguze uzito wabebwe....... halla madrid
Next two games
Alaves and leganes, hizi ndio mechi za ubingwa
Tatizo Barca nao kila game wanashinda tu! Wananikera kweli. Jana wameshinda NNE moja. Yaani tukipoteza game moja tu basi ndoo tunaikosa tena kwa mara ya 5 mfululizo.
Hivi hua unaelewa unachoandika kweli?tumewaacha point 4 alafu tukose ubingwa kwa kupoteza mechi moja?Tatizo Barca nao kila game wanashinda tu! Wananikera kweli. Jana wameshinda NNE moja. Yaani tukipoteza game moja tu basi ndoo tunaikosa tena kwa mara ya 5 mfululizo.
Literally tumewaacha point 5. Maana hata tukiwa sawa kwa point bado sisi mabingwa.Zimebaki mechi 4 na tunaongoza kwa tofauti ya point 4
Ili Barcelona wachukue ubingwa itabidi kati ya hizi mechi 4,tufungwe mechi 2 na tudraw mechi moja kitu ambacho ni impossible
Hivi hua unaelewa unachoandika kweli?tumewaacha point 4 alafu tukose ubingwa kwa kupoteza mechi moja?
Achana na mpira fatilia ishu za mapishi.
Mama Debora hujambo!, greetings from this side...Acha ujinga. Tukipoteza game moja probability ya Barca kubeba ndoo inaongezeka. Mfano game inayokuja tupoteze ndio utaona upepo unavogeuka!
Mama Debora hujambo!, greetings from this side...
Bi dada ili baselona waongoze ligi inabidi mechi ijayo #35 tufungwe kisha mechi #36 tutoe draw.....baada ya hapo sisi tutakua tunaongoza ligi huku tukilingana kwa points....Acha ujinga. Tukipoteza game moja probability ya Barca kubeba ndoo inaongezeka. Mfano game inayokuja tupoteze ndio utaona upepo unavogeuka!
Duh how i wish kuona hilo pishi la njegere na karanga thank you enjoy.Karibu. Nipo jikon napika njegere naweka na karanga. Kisha napika wali.