Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,026
- 5,018
Wakuu mliopo karibu na TV , ninaomba update za game yetu dhidi ya Levante,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo timu inacheza mpira mzuri sana
Mimi leo nimeona hatujacheza vizuri sijui kwa nini ..yaani ata hizi goli tatu basi tuu kwa vile ni levante ..ila tukipata timu nzuri yenye ushindani tutapata changamoto mno
RubbishTatizo linaloikabili Madrid kwa sasa ni kutokuwepo kwa Christiano ronaldo. Hili wengi wanaogopa kulisema. Zidane ni kocha wa kawaida kabisa, kama walivyo kina Moyes, Pulis, na wengine wa aina hiyo.
Mafanikio yake kwa % kubwa yalibebwa na Mnyama mkatili CR7. Kitendo cha kurudi kuifundisha baada ya kujiuzuli alikosea sana. Alishindwa kusoma nyakati. Ameamua kuichafua cv yake ya ukocha ambayo kwa haki kaandikiwa na ronaldo.
Huu msimu sijui nini kitatokea. Ila nachoamini, hamwezi kuwa juu ya barcelona, Atletico de madrid, na Sevilla. Kwa maana hiyo ni kwamba ubingwa kwa msimu huu hamwezi kupata.
Muda utaongea,tusubiri midaleo mtapigwa mpaka mchakae
Kufungwa ni moja ya matokeo katika soka, Ama Real Madrid itakuwa team ya kwanza kufungwa!?leo mtapigwa mpaka mchakae
Official Real Madrid XI vs PSG: Courtois; Carvajal, Varane, Militão, Mendy; Casemiro, Kroos, James; Bale, Benzema Hazard.