Modern football is about Money bro. Milan hawana hela ya kumpa mkataba kama wa Real Madrid. Kuhusu kudhalilika ni mtazamo wako, kama our rivals are better than us we'll see on the pitch. Mimi naamini bado tuko na competitive squad japo tuna hick up za hapa na pale. Zidane akinyanyua ndoo utarudi kumpongeza, we subiri tu.
Daah mkuu wanapata namba badoSijaitazama Madrid mda kidogo, hivi bado Kroos na Modric wanapata namba pale? Benzema je?
Kijiji hakikosi wazeeRamos 33 yrs
Marcelo 31 yrs
Modric 34 yrs
Bale 30 yrs
Benze 31 yrs
Aldonae, post: 32793139, member: 267429Mkuu,sisi wote madrid,ila hili la kunyanyua ndoo msimu huuu,mhhhhhhh!!!!!!
Katka Hilo hauko sahihi kipa namba tatu wa Madrid ni mtoto wa zidane wa kuzaa hajampa namba kwa sababu hyo atakuja ampe varane kwa sababu ya utaifa wakat kamuacha mwanae wa kumzaa??? Ndyo utamuacha varane utamuweka Nani utasema amuweke nacho syo sahihiMe nacho ona zidane ni kutanguliza utaifa tuu ndio kinacho cost timu ..mtu kama varane weka nje mara 1,1 ili akili zimrudi vizuri
Ukiangalia gap la grezzie lishazibwa na dogo Felix. Atletico ni mabingwa wa kuuza na kununua. Walimuuza Falcao wakampandisha Costa, gap likazibwa. Wakamuuza Costa wakaibukia kwa Grezzy pengo likazibwa. Sasa kaondoka grezzy kaja felix.Mkuu nafasi ya pili naamini wanaweza wakashika, hata Atletico pia wana gap la kuondokewa na Griezmann.
Na Madrid kuanzaga msimu vibaya ni kawaida kwake, Madrid hanaga kismati na La Liga, tazama miaka 11 Madrid kabeba La Liga ngapi na Barca ngapi.
Zidane kaamua kuharibu CV kwa sababu ya pesa, mtu mwenye akili timamu alikuwa anajua kabisa Madrid kuondoka kwa Ronaldo na wale wachezaji waliobaki sio rahisi kufanya vizuri sana, wachezaji wa Madrid wanahesabika.
Pale mtu ambae ni mzima kabisa, ni Ramos ( japo muda mwingine inategemea hali ya timu ktk mechi husika) na Casemiro. Modric upepo ushaanza kuishs, Kroos muda wowote umeme unakata pale.
Madrid inahitaji kuondoa watu wengi mapema pale.
Katka Hilo hauko sahihi kipa namba tatu wa Madrid ni mtoto wa zidane wa kuzaa hajampa namba kwa sababu hyo atakuja ampe varane kwa sababu ya utaifa wakat kamuacha mwanae wa kumzaa??? Ndyo utamuacha varane utamuweka Nani utasema amuweke nacho syo sahihi
Sijaitazama Madrid mda kidogo, hivi bado Kroos na Modric wanapata namba pale? Benzema je?
Sio poa hiyo , kwa umri huo mkubwa kwa wachezaji tegemewa sita kabisa ukikutana na timu ya vijana wa umri mdogo hao wazee watahemeshwa mpaka utajutaKijiji hakikosi wazee
Si ndio kinacho endelea kwa sasaSio poa hiyo , kwa umri huo mkubwa kwa wachezaji tegemewa sita kabisa ukikutana na timu ya vijana wa umri mdogo hao wazee watahemeshwa mpaka utajuta
Inshu syo kumsajili mchezaji Kwan wewe unajua varane amekuwa pale kwa kipnd gani?????varane amekuwa pale Madrid toka kipnd Cha Mourinho Na alishindwa kumuamin akawa anacheza Pepe Hadi alipokuja benitez na ikawa hivyo hivyo amekuja zizo ndo akapata namba ya uhakika Hadi mwisho wa siku amenyanyua ndo ya uefa Na wc Sasa leo hii ukamwamini mtu uliemsajili juzi hajapata uzoefu itakuaje???? Mpira muda mwingi unahitaj combination kuliko uwezo wa mtu mmoja mmoja hilo lazma ulitambue Basi wew ni sawa na wale wanao sema Madrid ivunje kikosi kizma iunde upya itawachukuwa misimu miwili kuanza kuzoeana na kufanya vizur Na Kuna wachezaji wanaofanya vizur leo kesho wanavurunda au ndo mnawataka ????? Unakuwa Kama hujui mpira Kaka unakurupka unasema alishaondoka kijana wa zizo lkn alishawahi kupewa nafasi hata kabla hajaondoka Na Baba akiwepo pale???? Leo hii aje atumie kigezo kwa varane?? Cha utaifa
Hivi wewe unaojua mpira vizur au umeanza ln kufatilia mpira??? Inaonekana umeanza Jana hivi ametoka Ronaldo.na kroos,modric, Ramos, Marcelo umri umewaacha halafu ndo injin za pale wamechoka wanaachaje kusajili pia kitu ambacho Kuna wachezaji wanaouwezo wa kucheza timu ndogo tu ukiwapeleka kwenye timu kubwa wanachemka au hilo hulijui????Umeandika bla bla mingi ...kama defensive ilikuwa umekamilika kwa nini team ilifanya usajili
Ujui lolote tuache na timu yetu
Hivi wewe unaojua mpira vizur au umeanza ln kufatilia mpira??? Inaonekana umeanza Jana hivi ametoka Ronaldo.na kroos,modric, Ramos, Marcelo umri umewaacha halafu ndo injin za pale wamechoka wanaachaje kusajili pia kitu ambacho Kuna wachezaji wanaouwezo wa kucheza timu ndogo tu ukiwapeleka kwenye timu kubwa wanachemka au hilo hulijui????
Pole Sana una timu?????Ujui kitu tuache na timu yetu ,unaandika bla bla havieleweki jaribu mambo mengine
Ndiyo munaandaa €210 kwa ajili ya Salah?
Zileteni haraka sana tuwauzie mchana kweupeeee tuwapige kama tulivyowapiga Barcelona kwa Coutinho.
Real Madrid wanayo taarifa hii?