PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,215
- 17,768
Sasa mulitaka aondoshe First XI yote na anunie First XI mpya?
Mumetumia zaidi ya €300m na kuwa ndiyo timu ilitotumia hela nyingi kuliko timu yoyote barani Ulaya halafu still munalalamika.
Yani hakuna timu inayobadilishwa kikosi kizima
Kubadilisha kikosi kizima hapana, bali wachezaji aliotaka kutia sokoni hawakuondoka kwa sababu tofauti. Kwa mfano tumeona Mariano refused all the offers. Huwezi kuingiza mchezaji Kabla ya kuuza. Walichomuahidi Zidane hakikutokea. Nimesema let's support Real Madrid the way it is. No negative comments.