Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

An
other mistake by our management, how can we sell Navas and leave players like Benzema and other flopps in the team?. Time will tell, I don't see any positive things ahead, funny enough Zizou doesn't appreciate young talents, to me Sergio regullon was far better than Mendy, why Kubo was loaned?. Let's keep on watching, I am a Madridista for life lose or win.
Mkuu mbona unanikatisha tamaa kwa maneno andiko lako, ninaona umejitambulisha kama Madridista ila ilichokiandika hakiendani na u Madridista wako.,
Kwa upande wangu sioni kosa la.Management kwenye suala la Navas kuondoka, ni.kweli alikuwa golikipa wetu mahiri sana na ametusaidia sana, ila hili la kuondoka aliomba mwenyew na club ikakubali, kwa upande wangu club ndio ilifanya jambo la busara kwani Navas alijulishwa tokea msimu unamalizika juu ya nafasi yake ndani ya kikosi akasema atabaki msimu huu, club ikamtoa Lunin kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza kwa kuwa angebaki isingewezekana kupata nafasi mbele ya Navas, ila dakika za Mwisho anaomba kuondoka huku tayari tumeshamtoa Lunin kwa mkopo, kwangu nilimuona kama kigeugeu, sababu angekubali toka awali kuondoka Lunin angebaki kama golikipa namba mbili.,
Ishu ya Benzema inaeleweka tokea siku nyingi kwamba anapwaya kwenye nafasi yake, kama club itafanikiwa kumsajili Mbape msimu unaokuja ndio ninadhani utakuwa Mwisho wa Benzema Real Madrid., hapa tuombee tu Jovic achangamane na wenzie mapema na aweze kuona goli vizur ili ampe Zidane changamoto kwenye kuchagua kikosi.
Regullion acha kwanza apate changamoto ya kutosha atarudi tu msimu ujao na mwezie Hakimi. Mendy yupo poa kiukweli, kama kila game atacheza kama alivyocheza juzi basi wale wapinzani waliozoea kupitia ule upande kwasasa wasahau hilo suala, Kijana yupo makini sana.
Mkuu unavyoona wewe unadhani Kubo anaweza kuchukua namba ya nani kwenye kikosi chetu kwasasa!? acha akapate experience. Sio rahisi hivyo kuchezea Real Madrid, Mwezie Odegaard licha kuwa na msimu mzuri zaidi kule Uholanzi bado ametolewa tena kwa mkopo huwezi kujiuliza imekuwaje !?
 
Mkuu mbona unanikatisha tamaa kwa maneno andiko lako, ninaona umejitambulisha kama Madridista ila ilichokiandika hakiendani na u Madridista wako.,
Kwa upande wangu sioni kosa la.Management kwenye suala la Navas kuondoka, ni.kweli alikuwa golikipa wetu mahiri sana na ametusaidia sana, ila hili la kuondoka aliomba mwenyew na club ikakubali, kwa upande wangu club ndio ilifanya jambo la busara kwani Navas alijulishwa tokea msimu unamalizika juu ya nafasi yake ndani ya kikosi akasema atabaki msimu huu, club ikamtoa Lunin kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza kwa kuwa angebaki isingewezekana kupata nafasi mbele ya Navas, ila dakika za Mwisho anaomba kuondoka huku tayari tumeshamtoa Lunin kwa mkopo, kwangu nilimuona kama kigeugeu, sababu angekubali toka awali kuondoka Lunin angebaki kama golikipa namba mbili.,
Ishu ya Benzema inaeleweka tokea siku nyingi kwamba anapwaya kwenye nafasi yake, kama club itafanikiwa kumsajili Mbape msimu unaokuja ndio ninadhani utakuwa Mwisho wa Benzema Real Madrid., hapa tuombee tu Jovic achangamane na wenzie mapema na aweze kuona goli vizur ili ampe Zidane changamoto kwenye kuchagua kikosi.
Regullion acha kwanza apate changamoto ya kutosha atarudi tu msimu ujao na mwezie Hakimi. Mendy yupo poa kiukweli, kama kila game atacheza kama alivyocheza juzi basi wale wapinzani waliozoea kupitia ule upande kwasasa wasahau hilo suala, Kijana yupo makini sana.
Mkuu unavyoona wewe unadhani Kubo anaweza kuchukua namba ya nani kwenye kikosi chetu kwasasa!? acha akapate experience. Sio rahisi hivyo kuchezea Real Madrid, Mwezie Odegaard licha kuwa na msimu mzuri zaidi kule Uholanzi bado ametolewa tena kwa mkopo huwezi kujiuliza imekuwaje !?


Asante sana.
 
Hivi kwanini kila mchezaji anayeondoka madrid lazima mumzushie maneno. Kila mtu aliona jinsi bale alivyokua ananyanyaswa na zidane tena hadharani. Same to Navas jamaa hakua kwenye mipango ya zidane msimu huu. Zidane anamtaka mwanae pale golini
Mkuu mbona unanikatisha tamaa kwa maneno andiko lako, ninaona umejitambulisha kama Madridista ila ilichokiandika hakiendani na u Madridista wako.,
Kwa upande wangu sioni kosa la.Management kwenye suala la Navas kuondoka, ni.kweli alikuwa golikipa wetu mahiri sana na ametusaidia sana, ila hili la kuondoka aliomba mwenyew na club ikakubali, kwa upande wangu club ndio ilifanya jambo la busara kwani Navas alijulishwa tokea msimu unamalizika juu ya nafasi yake ndani ya kikosi akasema atabaki msimu huu, club ikamtoa Lunin kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza kwa kuwa angebaki isingewezekana kupata nafasi mbele ya Navas, ila dakika za Mwisho anaomba kuondoka huku tayari tumeshamtoa Lunin kwa mkopo, kwangu nilimuona kama kigeugeu, sababu angekubali toka awali kuondoka Lunin angebaki kama golikipa namba mbili.,
Ishu ya Benzema inaeleweka tokea siku nyingi kwamba anapwaya kwenye nafasi yake, kama club itafanikiwa kumsajili Mbape msimu unaokuja ndio ninadhani utakuwa Mwisho wa Benzema Real Madrid., hapa tuombee tu Jovic achangamane na wenzie mapema na aweze kuona goli vizur ili ampe Zidane changamoto kwenye kuchagua kikosi.
Regullion acha kwanza apate changamoto ya kutosha atarudi tu msimu ujao na mwezie Hakimi. Mendy yupo poa kiukweli, kama kila game atacheza kama alivyocheza juzi basi wale wapinzani waliozoea kupitia ule upande kwasasa wasahau hilo suala, Kijana yupo makini sana.
Mkuu unavyoona wewe unadhani Kubo anaweza kuchukua namba ya nani kwenye kikosi chetu kwasasa!? acha akapate experience. Sio rahisi hivyo kuchezea Real Madrid, Mwezie Odegaard licha kuwa na msimu mzuri zaidi kule Uholanzi bado ametolewa tena kwa mkopo huwezi kujiuliza imekuwaje !?
 
Hivi kwanini kila mchezaji anayeondoka madrid lazima mumzushie maneno. Kila mtu aliona jinsi bale alivyokua ananyanyaswa na zidane tena hadharani. Same to Navas jamaa hakua kwenye mipango ya zidane msimu huu. Zidane anamtaka mwanae pale golini

We ndio umeharibu ..maana huyo mwanae alishaondoka madrid mapema sana kabla ya msimu huu haujaanza labda kama kwa kusema hakuwa kwenye mpango
 
With the addition of Eder Militao and Ferland Mendy, our Defense looks like this. Will his addition will create some difference...??


69416586_2174626622649563_4935705940444839936_n.jpg
 
📝❌| Lucas Silva is no longer a Real Madrid player after the Brazilian midfielder and the club decided to terminate his contract by mutual consent.
As a result, the 26-year-old is now free to negotiate with any team, despite the transfer window having shut last night. In the coming days, Silva hopes to sign for another club in Europe.
Silva's contract was set to expire in June 2020, but both he and Real Madrid believed that his best chance of finding a new club was to do so as a free agent.


69460967_2174883985957160_1733877674624942080_n.jpg
 
Me nacho ona zidane ni kutanguliza utaifa tuu ndio kinacho cost timu ..mtu kama varane weka nje mara 1,1 ili akili zimrudi vizuri
Me nacho ona zidane ni kutanguliza utaifa tuu ndio kinacho cost timu ..mtu kama varane weka nje mara 1,1 ili akili zimrudi vizuri
Hiyo ni kweli, Zizou anazingua wakati mwingine, namuheshimu kwa kuwa ni kocha aliyetupa mafanikio makubwa ila kuna sehemu anaharibu, Elder militao hajapewa hata dakika moja kwenye mechi zote tatu lakini utashangaa defence yetu kila Sikh inasababisha tufungwe kizembe, backline ile ile haibadilishwi. Kuna Hutu dogo Rodrygo inabidi apewe nafasi sana nilimuona tangu preseason dogo anajua kuliko vinicius Jr. Alafu Rodrygo ana accuracy kubwa ya kufunga magori.
 
Zidane alitaka mabadiliko makubwa kwenye squad nzima. Kitu ambacho aliahidiwa hakikufanyika. Alitaka baadhi ya wachezaji waondoke nafasi zao afume timu mpya. Matokeo Real Madrid board failed to do it. Wachezaji hawataki kuondoka, timu imebaki almost with burned out players. Imeshakuwa hivi, inabidi afanye itakavyokuwa kuifanya timu irudi kwenye hali ya ushindi. I support this team in any condition. Negative comments azisaidii kitu. I still have hope to the trophies.
 
Zidane alitaka mabadiliko makubwa kwenye squad nzima. Kitu ambacho aliahidiwa hakikufanyika. Alitaka baadhi ya wachezaji waondoke nafasi zao afume timu mpya. Matokeo Real Madrid board failed to do it. Wachezaji hawataki kuondoka, timu imebaki almost with burned out players. Imeshakuwa hivi, inabidi afanye itakavyokuwa kuifanya timu irudi kwenye hali ya ushindi. I support this team in any condition. Negative comments azisaidii kitu. I still have hope to the trophies.

Sasa mulitaka aondoshe First XI yote na anunie First XI mpya?

Mumetumia zaidi ya €300m na kuwa ndiyo timu ilitotumia hela nyingi kuliko timu yoyote barani Ulaya halafu still munalalamika.

Yani hakuna timu inayobadilishwa kikosi kizima
 
Hiyo ni kweli, Zizou anazingua wakati mwingine, namuheshimu kwa kuwa ni kocha aliyetupa mafanikio makubwa ila kuna sehemu anaharibu, Elder militao hajapewa hata dakika moja kwenye mechi zote tatu lakini utashangaa defence yetu kila Sikh inasababisha tufungwe kizembe, backline ile ile haibadilishwi. Kuna Hutu dogo Rodrygo inabidi apewe nafasi sana nilimuona tangu preseason dogo anajua kuliko vinicius Jr. Alafu Rodrygo ana accuracy kubwa ya kufunga magori.

Katuongezea tena golikipa wa kifaransa huyu sometimes anazingua ile ya ukweli ukweli yaani

Me nasema siku zote huyu vinicius hana futurw nzuri madrid akiendelea na huo mwendo wake dadeq
 
Sasa mulitaka aondoshe First XI yote na anunie First XI mpya?

Mumetumia zaidi ya €300m na kuwa ndiyo timu ilitotumia hela nyingi kuliko timu yoyote barani Ulaya halafu still munalalamika.

Yani hakuna timu inayobadilishwa kikosi kizima


Kubadilisha kikosi kizima hapana, bali wachezaji aliotaka kutia sokoni hawakuondoka kwa sababu tofauti. Kwa mfano tumeona Mariano refused all the offers. Huwezi kuingiza mchezaji Kabla ya kuuza. Walichomuahidi Zidane hakikutokea. Nimesema let's support Real Madrid the way it is. No negative comments.
 
Kubadilisha kikosi kizima hapana, bali wachezaji aliotaka kutia sokoni hawakuondoka kwa sababu tofauti. Kwa mfano tumeona Mariano refused all the offers. Huwezi kuingiza mchezaji Kabla ya kuuza. Walichomuahidi Zidane hakikutokea. Nimesema let's support Real Madrid the way it is. No negative comments.

Hii ya Mariano kidogo imenchekesha , Kijana amemua kukomaa kuwa haendi kokote, ninaona kukaa bench Real Madrid kuna uafadhali kuliko.kwingine sio., aliona mwenzie Bale alivyokomaa na yeye akafuata njia, ila acha tu abaki anaweza kutusaidia huko mbeleni sababu msimu ni mrefu sana na kuna majeruhi so ninadhan atapata nafasi ya kucheza huko baadae., kinachonifurahisha ni kuwa anajituma sana kwenye mazoezi ninadhan ana lengo zuri tu la kuisaidia team atakapo hitajika.
Sema kuna wachezaji wengine huwezi kuwalelewa nia yao, Mfano Isco, Lucas Vasquez, Nacho. na Asensio, huwezi kusikia wanalalamika kuwa wanaanzia bench ama wanacheza mechi chache, wao ninadhan wanapenda tu kuwa Real Madrid.
 

Wachezaji wengi wa ki spanish ndio wako ivyo tena kama huyo nacho yeye vyovyote sawa tuu..ata yule mwenzake kiko casilla alikuwa goli kipa
 
Back
Top Bottom