Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Casemiro ni kiungo ambae anajitahidi sana kukaba ila mapungufu yake ni kwamba sio mbunifuMkuu ulikua umasema??
Casemiro ni kiungo ambae anajitahidi sana kukaba ila mapungufu yake ni kwamba sio mbunifuMkuu ulikua umasema??
Casemiro ni kiungo ambae anajitahidi sana kukaba ila mapungufu yake ni kwamba sio mbunifu
Casemiro ni kiungo ambae anajitahidi sana kukaba ila mapungufu yake ni kwamba sio mbunifu
Case not ClosedKazi yake ambayo anapangiwa kila siku hua ni kukaba na kuzuia mashambulizi
Case closed
Nadhani unamfahamu Sergio Busquets na pia unamfahamu Fabinho na pia unamfahamu Tanguy NdombeleUkisema sio mbunifu Unamaanisha nini?
Nadhani unamfahamu Sergio Busquets na pia unamfahamu Fabinho na pia unamfahamu Tanguy Ndombele
Just to mention a few
Lakin pia akipata chance ya kushoot ya mashuti yakunyooka akosei mkumbushe ilo piaKazi yake ambayo anapangiwa kila siku hua ni kukaba na kuzuia mashambulizi
Case closed
Lakin pia akipata chance ya kushoot yale mashuti yakunyooka hakosei mkumbushe ilo pia
Hawa uliowataja hakuna kati yao anaweza kumtoa namba Casemiro... yule kijana anastick vzr kwenye DM.Nadhani unamfahamu Sergio Busquets na pia unamfahamu Fabinho na pia unamfahamu Tanguy Ndombele
Just to mention a few
Tangu lini Casemiro amemfikia uwezo Sergio Busquets? Kwa macho ya ushabiki wa mchezaji sababu anachezea Club unayoshabikia inawezekanaHawa uliowataja hakuna kati yao anaweza kumtoa namba Casemiro... yule kijana anastick vzr kwenye DM.
Kwa macho yangu na mtazamo wangu... sio kila unachoamini wewe kiwe kwa woteTangu lini Casemiro amemfikia uwezo Sergio Busquets? Kwa macho ya ushabiki wa mchezaji sababu anachezea Club unayoshabikia inawezekana
Kuna mashabiki wa mpira as whole na mashabiki wa vilabuKwa macho yangu na mtazamo wangu... sio kila unachoamini wewe kiwe kwa wote
Vilabu umesema weweKuna mashabiki wa mpira as whole na mashabiki wa vilabu
Kuna mashabiki wa mpira as whole na mashabiki wa vilabu
hahahahhahahahahhahahahaha....dah...hii biashara gani mzee?Hahaha leteni mezani Casemiro, Bale, Hazard na cash ya kutosha tuongee biashara..
Either Neymar will end up at Real Madrid or stay in Paris. Barca are too broke to make it happen, and PSG don't even like them, plus their players + money exchange just blown out with Coutinho choosing Bayern and Dembele injured.
Real Madrid will only take Neymar if Gareth Bale leaves, something only PSG can help with at the moment, and if Gareth agrees. I guess it's safe to say both PSG and Neymar are screwed, coz that's one more year together in a relationship both parties want out.
Ni sawa kwa sisi kuswap deal tuwape Bale watupe Neymar kwa kipindi hiki?
Maoni yako mkuu bila kusahau future ya Vinicius na Asensio