Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,089
- 5,160
I love Marcelo but this is a time to excuse us, anaacha bonge la gape pale nyuma, Nacho is very slow, I don't know why is he still there till today? Huyu Odriazola hawezi kucheza aerial dual kabisa na akikutana na wachezaji wasiojua fair play kama Diego Costa au Suarez sijui kama ataweza kuwadhbiiti. Kwa kifupi hii sio defence ya kuitegemea kucheza game mbili kwa wiki. Kuna watu humu hawajui mpira watakwambia tatizo Ronaldo hayupo.
Exactly Mkuu, ukiwaweka pamoja hao wandugu hesabu majanga, kipindi cha nyuma Ramos ama Casemiro walikuwa wanacover hiyo nafasi ya Marcelo, ila kwasasa wamezidiwa, ngoja tuone Mendy anaweza kutusaidiaje kwenye huo upande, Nacho na Odriozola ninajua msimu huu ni wa mwisho kwao pale Bernabeu, Nacho mpaka Leo yupo sababu Vallejo alipata sana majeraha msimu uliopita akashidwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara, Watapungua hivyo hivyo mpaka tupate sura mpya kwenye team,.