Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,089
- 5,161
Tumefungwa game ya pre season tu ila maneno yamekuwa mengi sana, kwa upande wangu bado nina IMANI kubwa sana na hii timu, ni Vizur vitu vinatokea pre season kuliko kutokea ligi imeshapamba moto, Atletico walicheza vyema sana, utadhan ilikuwa sio game ya kirafiki, walifanya jambo jema sana kuwakumbusha vijana wetu wanachotakiwa kufanya, somo lilieleweka na litafanyiwa kazi, ninasubir game zote za kirafiki ziishe ndio nitaweza kutathimini uwezo wetu kuelekea kwenye msimu mpya. Ngoja tuone game dhidi ya spurs itakuwa vipi.