mashish
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 810
- 519
Madrid kachukua hizo uefa kakutana giants juv,PSG,Munich,na wakati huo hakuwa na usajili wa maana,unavyo sema Madrid mbovu kwa kigezo cha kutochukua la liga na kusema anabahatisha tu,bro uefa inakutanisha top class clubs za ulaya,hapo kubahatisha inakuwaje,swala la bajeti ni mikakati ya Tim husika,angalia arsenal anavyo struggle na bajeti ndogo huku mashabiki tunaumia,
Mie sio mshabiki wa Barca ila personally ndio timu bora ulaya kwa hii decade ikifuatiwa na Napoli na Dortmund,Atletico,Spurs maana zinaoperate kwenye bajeti finyu ila zimeendelea kuleta ushindani kwa miaka mingi hivyo nazipa Heko.
Nachosema ni kweli Real kuchukua uefa mara 3 ni milestone ila msiikuze sana eti ndio timu bora duniani kisa hizo hat-trick..... Nikajenga hoja kwamba licha ya kutumia pesa nyingi na kumtegemea ronaldo kuwabeba ila bado knockout competition sio kipimo cha timu bora maana timu inaweza kukutana na dhaifu mpaka fainali tofauti na ligi ambapo lazima ukutane na mabingwa wenzio ili utambue nani mfalme wa wenzie.
Mfano juve ingemfunga Ajax ingemtkuta spurs hizo zote ni average team na ingeshaingia final.... Ila kwenye ligi hakuna hizo janja lazma ukutane na wababe wenzio.
Kumbuka Atletico walikua hawaingii Top 2 la liga lakini walifika fainali ya UEFA mara 2 sababu ya strategy ya kufunga 1 wanarudi kupaki basi...... Sasa hyo janja la liga hamna maana ni lazima wamfunge barca na real ili wabebe ndoo.
I hope mnaelewa hoja yangu