Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Our starting XI & the bench for the Clásico!

Dch9_NdW4AA34Dl.jpg:large
 
Leo naona tunategema winga moja sana ya marcelo....kukosekana kwa isco na carvajal kuna pengo kubwa...maana tutakuwa tunachelewa kupanda lakini pia tutakuwa tunakaa nyuma sana...huyu Nacho sijawah kumpa marks zangu...ni normal player....so ninachokiona leo nikutegemea counter attack...hatutakuwa na ufundi mwingi...
 
Back
Top Bottom