Maisha halisi ya Burundi

Wanapenda wa TZ kwa sababu wanaamini wakiwa TZ wana uhakika wa kuwa huru, na kufanya shughuli zao Kilimo na Ufugaji naona haya ndio yanawafanya kutupenda wa TZ.
Maana Burundi wanawake ni wengi sana hakuna ardhi ya kilimo wala Ufugaji watu ni wengi.
Sensa ya 2010 ilionyesha Burundi ina raia 10,450,901

Wanaume 4,650,700
Wanawake 5,800,201
Eeebwana eeh ...hapo kung'ang'aniwa lazima asee!
 
Ni chapombe eeeh?
Ni walevi sana wana mi bia yao michupa mikubwa Pilmus ina ml700 wanapenda sana na pombe za kienyeji, maarufu kama Ndimasi, Ugwagwa, Mgorigori, na kuna New improved fomular inaitwa maarufu UMURAHAMAVYA na hii ukiitumia Yale mayai kwenye korodani hupotea hilo jina linamaanisha hivyo
Na ukiitumia hauwezi kuhisi kufanya mapenzi mpaka siku mbili kwa hiyo ni dawa nzuri ya kupunguza NGUVU ZA KIUME
 
Ni walevi sana wana mi bia yao michupa mikubwa Pilmus ina ml700 wanapenda sana na pombe za kienyeji, maarufu kama Ndimasi, Ugwagwa, Mgorigori, na kuna New improved fomular inaitwa maarufu UMURAHAMAVYA na hii ukiitumia Yale mayai kwenye korodani hupotea hilo jina linamaanisha hivyo
Na ukiitumia hauwezi kuhisi kufanya mapenzi mpaka siku mbili kwa hiyo ni dawa nzuri ya kupunguza NGUVU ZA KIUME
Ahaaahaaaa...shikamoo warundi!
 
Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1.Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2.Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3.Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4.Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month,duuu pathetic.
5.Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
5.Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.

Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo

nkobhe255


Sasa kwanini umdanganye mtoto wa watu kuwa unataka kumuoa kumbe sivyo? Si bora uchape Malaya tu kisha usepe zako? Laana zingine nyie wanaume wa Dar mnajitakia wenyewe.
 
mkuu asante sana kwa travel guide hii murua,
binafsi nimevutiwa kwenda huko kupunguza stress za vyuma vya hapa tz
Nataka msaada mmoja unisaidie, kwasababu nina likizo ndefu nataka wakati wa kwenda niende kwa njia ya barabara kurudi ndo nirudi kwa flight, je unainformation zozote za usafiri wa nchikavu na je gharama yake maximum itakuwa Tsh ngapi kwa usafiri na huduma ya malazi na chakula kwa week moja itakuwa ngapi
Natanguliza shukurani
Hujasema uko wapi ,tu assume uko dar,dar to kahama 40,000 Hapa utaingia usiku nashauri ulale lodge inaitwa euro lodge ipo karibu na stand, kahama Kuna gari za straight to bujumbura sikumbuki nauli nadhani Kama 30000 hivi ,ndege bujumbura to dar 500,000
 
Hujasema uko wapi ,tu assume uko dar,dar to kahama 40,000 Hapa utaingia usiku nashauri ulale lodge inaitwa euro lodge ipo karibu na stand, kahama Kuna gari za straight to bujumbura sikumbuki nauli nadhani Kama 30000 hivi ,ndege bujumbura to dar 500,000

Nipo Dar. Asante sana mkuu hii imenionyesha kuwa laki mbili na nusu nafika Bujumbura kabisa, Basi ngoja nijipange likizo hii niitumie vyema mkuu kuongeza wigo katika geography ya ukanda wa maziwa makuu. Ubarikiwe sana.
 
Dar to Bunjumbura kwa basi ni 85,000
mpaka 80,000

Pia ili usijichoshe waweza panda gari DSM to Kahama 45,000
Kahama to Kabanga Ngara border 20,000
Ngara to Bujumbura 20,000
Nipo Dar. Asante sana mkuu hii imenionyesha kuwa laki mbili na nusu nafika Bujumbura kabisa, Basi ngoja nijipange likizo hii niitumie vyema mkuu kuongeza wigo katika geography ya ukanda wa maziwa makuu. Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom