Maisha halisi ya Burundi

😄😄😄 hakika mke wangu hujakosea,Mumeo natafuta pesa nikununulie 'Jaguar pliza' ukawatambie wakina mama wenzako hapo Bujumbura.
Maseru siyo Bujumbura!! mwalimu wako kakudanganya! anazidi kukuingiza chaka!! .... ndg utafute hela mpaka lini wkt wenzako wanazo tayari....km unaipenda saaaana ..njoo nikuunganishe!....hakuna atakaye elewa naona unaingiza gia kijanja! but sha elewa!

uwe muwazi tu!! banaweee!! hayo mambo siku hizi mbona kawaida? ..usiogope hakuna atakaye jua!! labda weye mwenyewe uamue kusema!!..hata kma ukiona vipi KY Jelly itakufaa zaidi! ila tu cha msingi uwe mkaka mavu!
 
Maseru siyo Bujumbura!! mwalimu wako kakudanganya! anazidi kukuingiza chaka!! .... ndg utafute hela mpaka lini wkt wenzako wanazo tayari....km unaipenda saaaana ..njoo nikuunganishe!....hakuna atakaye elewa naona unaingiza gia kijanja! but sha elewa!

uwe muwazi tu!! banaweee!! hayo mambo siku hizi mbona kawaida? ..usiogope hakuna atakaye jua!! labda weye mwenyewe uamue kusema!!..hata kma ukiona vipi KY Jelly itakufaa zaidi! ila tu cha msingi uwe mkaka mavu!
😄😄😄 Kula brochette hapo nakuja kukulipia mtoto mzuri,ntakununulia na Jaguar binti mrembo wa hapo Bujumbura.
 
Mzee, kubali wewe ni kilaza pia umekurupuka , Maseru sio gari, ni mji mkuu wa Lesotho

Jaguar Pliza ni a.k.a./jamii ya gari, nenda google utaziona

Wewe Lofa models za Jaguar hakuna hata moja inayoitwa Jaguar Pliza na Kama unajiamini weka hapa screenshot ya hio Gari hapa.Unadhani lugha zenu za kishamba mnazotumia huko Burundi kuita magari zinakua Ni official language?.

Ila warundi mna Maisha magumu Sana mnazamia mpk Lesotho
 
Wewe Lofa models za Jaguar hakuna hata moja inayoitwa Jaguar Pliza na Kama unajiamini weka hapa screenshot ya hio Gari hapa.Unadhani lugha zenu za kishamba mnazotumia huko Burundi kuita magari zinakua Ni official language?.

Ila warundi mna Maisha magumu Sana mnazamia mpk Lesotho
Unaelewa maana ya a.k.a. (also know as) au unaniita lofa tu?
Kama mimi a.k.a. yangu ni Krait, ila nina jina langu halisi linalotambulika tofauti na hilo

Mfano mwingine, Vitz, IST na ndugu zake mnaziita Baby Walker je hilo jina Baby Walker ni Model ya gari?

Nakuelewesha tu, ila kwa kuwa una uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko sisi warundi utaendelea kuniita lofa

Pia usikariri maisha au sehemu ya kwenda kutafuta, kuna baadhi ya maeneo mtu unaenda kutafuta baada ya kujua kuna fulsa/uhaba wa bidhaa fulani, hivyo wewe unachukuwa mzigo unapeleka unapiga pesa bila kuangalia nchi husika ina uchumi mkubwa au mdogo, kule unaingia na kutoka tu, ila wewe mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri unajua kutafuta maisha ni kwenda kuishi na kufanya kazi kwenye nchi tajiri kwa mwaka au miaka sisi hatuna hizo mambo, tunaishi tukiona kama kuna mzunguko mzuri wa biashara pia tuna uhakika wa kutoboa

Burundi kuna Vikoi na Vitenge, na kuna hizi Platnum Sebago, ukizichukulia kule kisha ukapeleka kkoo unapiga pesa nzuri tu (hizi tayari zipo kkoo)

Nakukumbusha, wewe una uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko sisi warundi, ila usikariri katika harakati za utafutaji
 
kAMA anapata laki 3 na anamaliza mwezi na nyingine ana save shida iko wapi??? Australiawakt nasoma, nilikuwa kibarua nalipwa sh.700 miaka flani lkn hiyo ukiibadilisha kwa hela ya Bongo ni takribani million 12 cash! za Bongo!

kwa urafi na mshangao!! nilisave kwa pupa zooote nzima nzima nikawa nakula huk huko kazini nalala kwa clavan-Gari mpaka nilipo maliza yangu nikarudi na mihela si kawaida ndo huo Mghorofa wangu leo nakula kiubwe=teee!!

asante sydney!
 
pale mtukania mtu mamayake unatafta kifo

kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,

ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo

watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu

wafanyakazi wa ndani ni wanaume

ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile

wengi hula milo miwili kwa siku

ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi

jumamosi ni siku ya usafi

ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu

wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo

wana hasira sana hawa jamaa

ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.

yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale
Napenda sana siku niende Burundi kutembea na kurelax
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom