Masikini mjanja
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 232
- 378
This is real Entrepreneur from Tanzania
Allen Kimambo, wa Zaidi Enterprise Ltdndio nani huyo
ndio leo namsikia, anafanya biashara gani?Allen Kimambo, wa Zaidi Enterprise Ltd
Inawasaidia kwakuwa yeye analipa kodi na hizo kodi ndio mnalipwa mishahara pamoja na kununua madawa hospitaliniBiashara yake inatusaidia nn sisi,
Bora Ontario ametusaidia watanzania. Hao wengine wanaroho mbaya.hawataki hata kusaidia wengine.watusue tuwe wengi...
This is real Entrepreneur from Tanzania
Recycling of waste materials.ndio leo namsikia, anafanya biashara gani?
Biashara yake inatusaidia nn sisi,
Bora Ontario ametusaidia watanzania. Hao wengine wanaroho mbaya.hawataki hata kusaidia wengine.watusue tuwe wengi...
Mjasiriamali wa kweli anaye inspire vijana wengine hapa Bongo ni ONTARIO tu.
Namheshimu sana Ontorio lakini sio kigezo cha kutoona umuhimu wa wajasiliamali wengine,
Lazima tuwe na fikra pevu kumbukeni kwa anachokifanya Ontorio lazima awa-inspire kwanza vijana ili afanye nao kazi.
Watu aliowaajiri Bakhresa na aliowasaidia Ontario wepi ni wengi?"Zungumza kama unhisi maneno yako yatakuwa bora kuliko kubaki kimya." Mo Dewj, Bakhresa, GSM, Manji, etc are not an entrepreneurs who helps many people?