Real entrepreneur from Tanzania akiwa Nigeria kwa mkutano

Masikini mjanja

JF-Expert Member
Oct 13, 2017
232
378
This is real Entrepreneur from Tanzania
d8dcf3915a8e86334142de14d7e3a6b6.jpg


c1c0c19daacedcc9c0167ac688d619af.jpg



91df402ac073134ea6d3674ab3e2cd60.jpg


fb0fbecd7828ed339284b7a464efe94f.jpg


4931342a2c8e638debdfdb8b7e75a6ff.jpg
 
Huyo ni entrepreneur Allen Kimambo, mmoja wa wawakilishi wa Tanzania kwenye mkutano wa wajasiriamali wa Africa.
 
Biashara yake inatusaidia nn sisi,
Bora Ontario ametusaidia watanzania. Hao wengine wanaroho mbaya.hawataki hata kusaidia wengine.watusue tuwe wengi...
Inawasaidia kwakuwa yeye analipa kodi na hizo kodi ndio mnalipwa mishahara pamoja na kununua madawa hospitalini
 
Biashara yake inatusaidia nn sisi,
Bora Ontario ametusaidia watanzania. Hao wengine wanaroho mbaya.hawataki hata kusaidia wengine.watusue tuwe wengi...

Mjasiriamali wa kweli anaye inspire vijana wengine hapa Bongo ni ONTARIO tu.

Hebu ficheni upumbavu wenu,

Wajasiliamali wote sio lazima wafanane,

Yaani mnabeza mafanikio ya huyu mtu kuhudhuria mkutano mkubwa kama ule really?

Namheshimu sana Ontorio lakini sio kigezo cha kutoona umuhimu wa wajasiliamali wengine,

Lazima tuwe na fikra pevu kumbukeni kwa anachokifanya ontorio lazima awa-inspire kwanza vijana ili afanye nao kazi.
 
"Zungumza kama unhisi maneno yako yatakuwa bora kuliko kubaki kimya." Mo Dewj, Bakhresa, GSM, Manji, etc are not an entrepreneurs who helps many people?
Watu aliowaajiri Bakhresa na aliowasaidia Ontario wepi ni wengi?

Kusaidia kupo kwa namna nyingi na kila mmoja ana wajibu wake!
 
Back
Top Bottom