Reaction ya Mchungaji Gwajima imeniachia maswali mengi!

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,
 
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,
Mungu akutie nguvu umalize mwendo salama

Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
 
Mateso ya Yesu toka kukamatwa Na kisha kuwambwa msalabani yanatoa mafundisho makubwa ambayo ndio kilele cha kile alichokusudia kutufundisha toka kutabiriwa kwake.Kupitia mate so hayo Yesu anatufunulia aina mpya ya maisha tunayopaswa kuishi.Ni Hivi yeye alikuwa mnyenyekevu toka anakamatwa hata wakati wa kutoa Roho yake. Adamu Na Hawa wao walijikweza.Walijawa Na kiburi.Walijawa Na majivuno.Ndio hiyo dhambi ya asili. Kwa hiyo Kristu Kwa Mateso Na ufufuko wake ametuachia staili mpya ya maisha nayo Ni Unyenyekevu.Tujinyenyekeshe.

Ukitafakari kauli za Gwajima utaona kuwa staili hiyo ya kujinyenyekesha imetindika kwake. Reaction ilikuwa majigambo.Reaction ilishehenekezwa Na tambo.Mwangwi wa kuonewa wivu Ndio ulitawala.Niseme nini tena? Waingereza wamezoea kusema : " the devil lies in the details". Maelezo ya Kristu yalikuwa mafupi sana lakini ya kukata kiu.Yalikuwa maelezo tamatishi kwa kila hoja iliotolewa.Maelezo ya Gwajima yalikuwa meeengiii lakini yameacha kiu kubwa.Yameibusha maswali meengiii tena.Nini maana yake? Jibu alilitoa Kristu: " Mtawatambua Kwa matunda yao". Ndio kusema maisha ya Gwajima ya kila siku Ndio yanapaswa yaseme saaanaa kuliko maneno yake.
 
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,
Ndugu maoni yako ni mazuri sana lkn kumbuka mch. Gwajima alisema lengo la vita ile ni kuwaangusha watu, hrbu waza watu elfu sabini ambao ni washirika wake alafu unampakazia hayo na yehe mchungaji amefafanua kwa maslahi wa washirika wake wafahamu ukweli. Ni hatari sana kukaa kimya kwenye hili washirika wachanga wataumia sana
 
alichowapa Gwajima waaamini wake ni zaidi ya madawa ya kulevya!
maana hawasikii hawaambiwi, kuhusu huyo Gwajima.
imani aliyowapa juu yake ni zaidi ya madawa.

halafu wanaacha kujibu hoja wanaanza ooh mimi mwenyekiti wa Yanga,mimi mbunge ,Hafai kuniita vile...
hivi mtuhumiwa anapaswa kubembelezwa????
kwahiyo wao walitaka Rais Maghufuli akakae central aanze kuwaita? maana ya Mkuu wa mkoa,Jeshi la polisi ni nini?
Umeitwa polisi kajibu hoja ,usianze bla bla
 
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,
Hawa watu wanajisahau sana,na hasa baada ya hela kuwa zimewazidi,inafikia mahali anajiona yeye kama Rais hastahili kuguswa na mamlaka yoyote ile.
 
Sio kweli, umelichukua neno out of context kabisa. Yaani very shallow analysis. Yesu mwenyewe alipotuhumiwa kwamba anatoa pepo kwa nguvu za mkuu wa mapepo alijitetea. Pia, alijitetea mbele ya Pilato, pale alipozabwa vibaya akauliza ni kwa kosa gani unanipiga kibao. Biblia inasema, kwa kukiri kwako utapata haki yako. Huwezi kuniambia watu wanakusingizia kitu, halafu ukae kimya kama zuzu, wakati Mungu amekupa kinywa.

Sasa wewe nenda kwenye interview, halafu wakikuuliza maswali kaa kimya tu, eti kwasababu umefanya maombi. Sisi tunasehemu yetu na Mungu anasehemu yake. Yaliyo peupe ni yetu, na yaliyo sirini ni ya Mungu.

Ndio maana Yesu akasema, mtakapo takiwa kujitetea mbele ya baraza, Roho mtakatifu atawapa maneno ya kunena, wakati huo. Kwasababu kwa maneno yako, unahesabiwa haki.

Uhai na mauti yapo kwenye uwezo wa ulimi. Ukiri ni lazima.

Musa aliambiwa atulie ili auone ukuu wa Mungu, baada ya kuchukua hatua na kwenda kwa Farao kumshawishi kwamba awaachilie wana was Israel. Alijirabu Mara kadhaa mpaka Mungu akaingilia kati. Mungu, wetu hataki tuwe kama mazezeta, hayo maelezo yako ni out of context kabisa
 
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,
Maombi ya JamiiForums??? Huo unafiki, na kuna watu wa kuwashangaa ila siyo Askofu Dr. Josephat Gwajima na usifikiri kujibu kwake mapigo kwa huyo kunaondoa chochote katika kiroho chake kwa kuwa yeye ni mtu wa vita tangu nimfahamu, kwake media ni kama madhabahu
 
2 wakorinto 10:3,,
Maana ingawa twaenenda katika mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
Reaction ya Mchungaji Gwajima imenifanya nirudi nyuma hatua Moja na kukaa chini na kutafakari upya vita ya kiroho tuliyo nayo sisi wateule,
Najiuliza kwa mkristo aliyekomaa katika neno LA Mungu je kuna haja ya kupanik unaposingiziwa? Je neno la Mungu halijatoa maonyo tangu mwanzo wa wakovu wetu likisema tujitwike msalabu na tuhesabu gharama? Je anachopitia mtumishi wa mungu siyo msalaba uliotajwa na bwana wetu Yesu Kristo?Basi furahini kwa kuwa mmehesabiwa haki mbinguni,
Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya!
Najiuliza swali kama kweli kuingia mbinguni ni jambo rahisi?
Wapendwa mnisamehe lakini najiuliza maswali mengi sana juu ya mwenendo wetu kama wateule,
Mungu na anisaidie nimalize mwendo wangu salama,

Pole sana. Hili ni tatizo la walokole wengi. Hata wakidhurumiwa wanamuachia Mungu, Huu ni uzembe. Imeandikwa duniani kuna dhiki jipeni moyo, sikwamba basi tuache tu. Mafundisho hay ni manyonge manyonge. Ngoja nikupe mfano hai, Miaka ya nyuma Walokole walikuwa wakipuuza sana mambo ya siasa na uongozi baadaye wale wa mataifa walipochukua madaraka kuwaongoza hao ambao wanasema vita ni ya rohoni wakaanza kunyanyasika kwa kunyimwa vibali vya mikutano, kuambiwa wanapiga makelele wakati wanasali na kuomba. Sasa wakapata akili na Uchaguzi uliopita wengi walokole walijitokeza na sasa ni viongozi na hakuna tena manyanyaso.

Nilitaka kusema kwamba, kuwa Mlokole au mchungaji si kigezo cha kuwa mjinga mjinga. Mimi ninamuheshimu sana Ask. Gwajima hasa tukiondoa tofauti zetu kimapokeo. Huyu mtu amesaidia sana wakristo na watu wengine kwa kupigania haki. Si unakumbuka katiba mpya na "sijui huyu amekula maharage ya wapi?" unakumbuka yule bwana kule Arusha au Mwanza aliyetoa amri na marufuku ya wakristo kutokuhubiri au kuomba kwa sababu wanapiga kelele nani alikuwa mstari wa mbele kupinga mpaka yule bwana akatumbuliwa.

So usiwe mnyonge. Hata Bwana Yesu aliwapa kibano wale waliokuwa wanharibu nyumba ya Mungu.
 
alichowapa Gwajima waaamini wake ni zaidi ya madawa ya kulevya!
maana hawasikii hawaambiwi, kuhusu huyo Gwajima.
imani aliyowapa juu yake ni zaidi ya madawa.

halafu wanaacha kujibu hoja wanaanza ooh mimi mwenyekiti wa Yanga,mimi mbunge ,Hafai kuniita vile...
hivi mtuhumiwa anapaswa kubembelezwa????
kwahiyo wao walitaka Rais Maghufuli akakae central aanze kuwaita? maana ya Mkuu wa mkoa,Jeshi la polisi ni nini?
Umeitwa polisi kajibu hoja ,usianze bla bla

Noooo!!
Kwanza inaonekana unachukulia simple sana jina madawa ya kulevya, madawa siyo kesi ya kawaida, haija wahi tokea duniani vyombo vya uchunguzi vika muita mtuhumiwa wa madawa ya kulevya eti baada ya siku 2 aende kuhojiwa, hapo wana wachafua watu madawa ni kitu hatari ni sawa na sifa ya kuua. Na nimependa Gwajima alivo fight
Yaan kilicho fanyika ni non sense na defrmation, wale ni watu wanafamilia zao , wana biashara zao wana maelfu ya watu nyuma yao, ukisha wahusisha na vitu kama hivo una waharibia sifa zao walizo jijengea kwa shida, haija lishi wanauza au hawauzi, kuitwa namna ile ni wrong na haiko sawa kisheria. Na disrespect kwa utu wao regardless wawe na pesa au hawana.
Now Yanga wanaitwa team sembe, washirika wa Gwajima unadhani watakuwa wana jiskiaje?.
Makonda ana kazi ya ku prove kuwa wana uza kweli madawa ka si hvo atakuwa ni Muharibifu wa brand za watu tu. Au mchawi wa mafanikio ya watu.
Nia ilikuwa nzuri process imekuwa mbaya kiasi imeharibu uzuri wa nia.
 
Hawa watu wanajisahau sana,na hasa baada ya hela kuwa zimewazidi,inafikia mahali anajiona yeye kama Rais hasthili kuguswa na mamlaka yoyote ile.
Makonda kakosea, na ndio maana walio ripoti kituoni ni watu wa 4, tu na ningekuwa mimi ningefanya kama Mbowe siendi na namshitaki mahakamani.
Tatizo siyo kuguswa, tatizo utaratibu unao tumika, let them fight, kungekuwa na ushahidi kamili ningasema wana zingua ila kwa sasa wako sawa
 
Gwajima anaitwa mchungaji kwa kuchunga kitu gani?!

Mtu anaonekana kabisa Tapeli yule ila bado mnamwita mchungaji eboooo
 
Back
Top Bottom