Acha upotoshaji wewe. Ni wapi biblia inaposema utajiri ni dhambi? Ni wapi ambapo Biblia inausifia umasikini? Your problem is you have poor understanding about how to interpret the Bible!Na hapa ndiko Ukristu unapodhalilishwa, watu hawauishi Ukristu kabisa. Anaeijua Paradiso kindakindaki amesema "ni vigumu kwa tajiri kuiingia" cha ajabu wachungaji wetu ndo kwanza wanapigania utajiri.
Siwaelewi kabisa wanaowafuata, waumini wao. Yesu ametuhasa kuukana ulimwengu huu na tuyapiganie zaidi ya mbinguni, wao huyahubiri zaidi ya ulimwengu huu. Utajiri, ajira, uzazi na uponyaji wa kimiujiza. Ilinenwa, ni kizazi cha nyoka ndicho kipendacho miujiza, leo angalia inavyokumbatiwa. Hui mchungaji mzuri hadi uwe Mkuu ktk miujiza, hata isiyoeleweka asili ya nguvu zake zinatoka wapi kama ni watuhumiwa hata kwa uuzaji wa vitu haramu ktk jamii.
Unavijua hata vitengo vinavyoshughulika na madawa ya kulevya? Unahisi kwanini wapo kimya?alichowapa Gwajima waaamini wake ni zaidi ya madawa ya kulevya!
maana hawasikii hawaambiwi, kuhusu huyo Gwajima.
imani aliyowapa juu yake ni zaidi ya madawa.
halafu wanaacha kujibu hoja wanaanza ooh mimi mwenyekiti wa Yanga,mimi mbunge ,Hafai kuniita vile...
hivi mtuhumiwa anapaswa kubembelezwa????
kwahiyo wao walitaka Rais Maghufuli akakae central aanze kuwaita? maana ya Mkuu wa mkoa,Jeshi la polisi ni nini?
Umeitwa polisi kajibu hoja ,usianze bla bla
Mzaramo, naamini wewe utakua wa dini ya uzaramuni ,na hauko tofauti na makonda unamwita mtu tapeli na hauwezi kuthibitisha na ushahidi huna,na hujui maana ya uchungaji,jifunze kua muungwanaGwajima anaitwa mchungaji kwa kuchunga kitu gani?!
Mtu anaonekana kabisa Tapeli yule ila bado mnamwita mchungaji eboooo
Aliye yanena haya ndiye atakayeyahukumu. Ila nadhani we si tu kwamba hujaielewa Biblia bali hujawahi hata kuisoma kabisa. Huujui Ukristo wa mwanzoni ulikuwaje. Kasome matendo ya mitume utaujua ukristu. Kifupi, Ukristu ni kinyume cha ubinafsi wowote ule. Uwe wa kijamii au kiuchumi.Acha upotoshaji wewe. Ni wapi biblia inaposema utajiri ni dhambi? Ni wapi ambapo Biblia inausifia umasikini? Your problem is you have poor understanding about how to interpret the Bible!
Viuze ulivyonavyo unifuateAcha upotoshaji wewe. Ni wapi biblia inaposema utajiri ni dhambi? Ni wapi ambapo Biblia inausifia umasikini? Your problem is you have poor understanding about how to interpret the Bible!
Hapa pamekaaje? Sijakuelewa au uwezo wangu ni mdogo wa kuelewa? Ni kama umemaanisha hii taasisi inayojishughulisha na ulinzi na usalama wa raia na mali zao si kitengo muafaka wa kuzibiti madawa ya kulevya au?Mzazi wako atakuwa analaumu ada aliyoitoa kipindi unasoma maana hakuna kilaza zaid yako
Unaihukumu njia wakati bado haijafika tamati? Mi nadhani ni njia nzuri tu hata kama hatopata ushahidi wa kuwatia hatiani, jamii ilijue uwepo wa hili na uwezekano wa watu wasiodhaniwa kuwa ni wahusika.Yes,
Umepikwa Lumumba sikushngai maana nyie ni watoto mnapakatwa inabidi mkapime marinda kama yako sawaHapa pamekaaje? Sijakuelewa au uwezo wangu ni mdogo wa kuelewa? Ni kama umemaanisha hii taasisi inayojishughulisha na ulinzi na usalama wa raia na mali zao si kitengo muafaka wa kuzibiti madawa ya kulevya au?
Halafu, kwa kinachoendelea nchini huwa najiuliza maswali kadhaa wa kadhaa. Kwanza, hivi ni kweli kuna waathirika wa madawa ya kulevya nchini? Je hili kweli ni tatizo ktk taifa au ni la kihadithi tu za kisiasa? Je taifa linaumizwa nalo kama ni tatzo?
Huwa nakosa majibu kabisa, labda akina Chid na Ray c, ni wagonjwa wa magonjwa mtambuka tatizo si drugs.
Dini ya hiyo uliyoipa jina la uzaramuni ndo ipi hiyo Mkuu? Kuhusishwa tu kwa kiongozi wa kidini ni uwalakini. Pia, kuna aina ya ushaidi wa kimazingira. Majibu yake, yametia shaka. Hivi kweli mtu anaweza kuwa na wivu hata akamuhusisha mchungaji na madawa ya kulevya?Mzaramo, naamini wewe utakua wa dini ya uzaramuni ,na hauko tofauti na makonda unamwita mtu tapeli na hauwezi kuthibitisha na ushahidi huna,na hujui maana ya uchungaji,jifunze kua muungwana
Ana Biblia yake, na kwakweli wanayo. Makanisa yao yasingejaza kihivi. Wasinge waona matapeli kuwa ni wafuasi wa Yesu. Tena Yesu ambaye alikuwa na uwezo wa kujiundia vyote kimiujiza, aliyejipatia hata fedha toka kwa samaki, unadhani angeujali utajiri Sulemani angemfikia? Na hata huyo Solomon mwishoni alisemaje ktk yote?Viuze ulivyonavyo unifuate
ArD67 ,lala upumzike rafiki yangu,dawa za kulevya ni tatizo la dunia nzima,na kote yanapigwa vita,ila ukitazama kwa undani na ukweli kote ,hakuna udhati wa kuyamaliza dawa za kulevya ,usa wana kila aina ya mitambo ya ulinzi lakini bado tatizo lipo na madawa yanauzwa mtaani,kwa maneno mengine hao hao wakubwa ,kuna wanaonufaika navyo kwa njia moja ama nyingine,sasa hapa kwetu mh,katangaza vita ,ni jambo zuri sana,na kila mtu anamuunga mkono,ila tunachokilalamikia ni utaratibu wa kumtangaza mtu kwenye media,kabla mahakama na vyombo husika havijadhibitisha,kua ni kweli anahusika navyo,kwa maana hawa wanaokamatwa ni watu wenye heshima zao kwa jamii,ukikosa unachodhania anacho hutaweza kumrejeshea heshima yake ilioharibika mbele za watuHapa pamekaaje? Sijakuelewa au uwezo wangu ni mdogo wa kuelewa? Ni kama umemaanisha hii taasisi inayojishughulisha na ulinzi na usalama wa raia na mali zao si kitengo muafaka wa kuzibiti madawa ya kulevya au?
Halafu, kwa kinachoendelea nchini huwa najiuliza maswali kadhaa wa kadhaa. Kwanza, hivi ni kweli kuna waathirika wa madawa ya kulevya nchini? Je hili kweli ni tatizo ktk taifa au ni la kihadithi tu za kisiasa? Je taifa linaumizwa nalo kama ni tatzo?
Huwa nakosa majibu kabisa, labda akina Chid na Ray c, ni wagonjwa wa magonjwa mtambuka tatizo si drugs.
Kaka walikutapeli nin?gwajima na mzee wa upako na mwingira ni mapacha watatu hatari sana,matapeli tu
Ndugu, kuwa makini usije ukawa ni mpinga Kristu aliye dhahiri hata machoni mwa vipofu. Usijiondolee sentensi kwenye kile kitabu, nukta tu kumezuiwa.Acha upotoshaji wewe. Ni wapi biblia inaposema utajiri ni dhambi? Ni wapi ambapo Biblia inausifia umasikini? Your problem is you have poor understanding about how to interpret the Bible!
Wewe ulishawahi kuitwa polisi?na je uliitwa kwenye media? Utaratibu ni muhimu kwenye kila jamboKumbe ni mtu wa kiwango au daraja au hadhi gani anaestahili kuitwa na malaka husika kama Polisi?
Siku zote ktk Post zangu huwa nawahasa, msijidanganye kwamba watz wote ni wafuasi wa vyama vya kisiasa. Ndo mana huwa mnachemka hata ktk chaguzi nyingi, huwa mnapima kwa takwimu mufilisi, wenye vyama mko asilimia ngapi kwani?Umepikwa Lumumba sikushngai maana nyie ni watoto mnapakatwa inabidi mkapime marinda kama yako sawa
Mi ktk hili nadhani na utoto pia unachangia, hata na maisha ya awali aliyokulia pia. Hapa kuna la kujadilika. Je kuwataja hakuwezi kupoteza ushaidi? Je akiukosa, kisheria serikali hatawalipa fidia na taifa kuingia hasara? Haya yote, yamewaumiza wenye kufikiri kwa kina.ArD67 ,lala upumzike rafiki yangu,dawa za kulevya ni tatizo la dunia nzima,na kote yanapigwa vita,ila ukitazama kwa undani na ukweli kote ,hakuna udhati wa kuyamaliza dawa za kulevya ,usa wana kila aina ya mitambo ya ulinzi lakini bado tatizo lipo na madawa yanauzwa mtaani,kwa maneno mengine hao hao wakubwa ,kuna wanaonufaika navyo kwa njia moja ama nyingine,sasa hapa kwetu mh,katangaza vita ,ni jambo zuri sana,na kila mtu anamuunga mkono,ila tunachokilalamikia ni utaratibu wa kumtangaza mtu kwenye media,kabla mahakama na vyombo husika havijadhibitisha,kua ni kweli anahusika navyo,kwa maana hawa wanaokamatwa ni watu wenye heshima zao kwa jamii,ukikosa unachodhania anacho hutaweza kumrejeshea heshima yake ilioharibika mbele za watu
Una taarifa kwamba,kuna nnchi rais wao katangaza wauzaji wa madawa ya kulevya wapigwe risasi,na bado madawa hajaisha? Vita hii itapiganwa miaka nenda miaka rudi lakini ,haitasha ni kitu kinawanufaisha wakubwa,tunaweza kupunguza tu,ila hata hapo tulipofikia ni afadhali kwa sababu khali ilikua mbaya sana,watanzania wengi walikua wanakamtwa uchina kila kukicha,na wengi wamefungwa huko, tuwahimize watu wamrejelee mola wao, ndio njia kuu zaidiMi ktk hili nadhani na utoto pia unachangia, hata na maisha ya awali aliyokulia pia. Hapa kuna la kujadilika. Je kuwataja hakuwezi kupoteza ushaidi? Je akiukosa, kisheria serikali hatawalipa fidia na taifa kuingia hasara? Haya yote, yamewaumiza wenye kufikiri kwa kina.
Lakini Vita dhidi ya madawa ya kulevya lazima ianzishwe tu, na lazima tuwe na nia ya dhati ktk hili. Zipo nchi kwa kiwango fulani zinafanikiwa Mkuu. Ila hii ni Vita kuu, na ni ya kimifumo zaidi, hili liko wazi kabisa. Sumu kuu ni ubinafsi, tukiweza kulitoa hili pepo la ubinafsi, vita hii itakwisha kwa ushindi mkubwa.