Tangu mwaka 2016 Rea ili Saini mkataba no:AE/008/2016-17/HQ/G/11 -Lot 6 na Mkandarasi State Grid ya DSM. Mshangao Mkandarasi huyo alileta nguzo mwaka 2016 ambazo mpaka leo haziko sehemu ya Mradi na masalia zimeteketezwa na moto.
Hii imekaaje May 2021 imekuja SUMA JKT tunaona wanaanza na kupandisha nguzo.
Tuna wasiwasi kazi hiyo lpo kama awali au SUMA JKT wana mradi mwingine mbali na State Grid?
Tunaomba ufafanuzi tunateseka sana.
Hii imekaaje May 2021 imekuja SUMA JKT tunaona wanaanza na kupandisha nguzo.
Tuna wasiwasi kazi hiyo lpo kama awali au SUMA JKT wana mradi mwingine mbali na State Grid?
Tunaomba ufafanuzi tunateseka sana.