Karikenye
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 564
- 279
Igweeeeeeeeee... heshima mbele viongozi..!! Kumbe Mzee Madiba alipiga GWANDAZ... sasa akina Membe wanapowakalia kooni CHADEMA na GWANDAZ zao sijui Mandela hawamjui vizuri au? Wakati amekwenda underground kwa ajili ya kuanzisha UMKHONTO WE SIZWE (MK) GWANDAZ lilikuwa ndio vazi lake...!! Haya Bibi KIROBOTO na NDUGWAI wako, pamoja na maelekezo yenu DHIDI ya GWANDAZ, Je, Mzee Madiba (MUNGU AMPE UHAI) akija Tanganyika akataka kuhutubia BUNGE la Tanganyika akapiga GWANDAZ lake mtatoa comment gani? Hebu kueni bana alaaa!!