Re: My husband

IGWE

JF-Expert Member
Feb 3, 2011
9,458
7,371
Salaam!..
Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.

Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.

My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?

Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza
 
Salaam!..
Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.

Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.

My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?

Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza

simple...alikupa simu ili uone jinsi alivyokusave...amka.
 
pole ya dhati kwa yule unayemdanganya kuwa ndo mpenzi wako 'unayempenda kwa dhati'
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">IGWE bana.......basi tena ndio umeshaniwahi......</span></font></font>
<br />
<br />
NIMEPITA TU! Ila yaelekea kuna kina mambo fulani hapo.
 
IGWE bana.......basi tena ndio umeshaniwahi......

nilijua watu wenye mawazo kama ya kwako wapo wengi_hivyo kujilinda nikafunga vioo,...lete hoja preta_nini hiyo ki2 my husband
 
pole ya dhati kwa yule unayemdanganya kuwa ndo mpenzi wako 'unayempenda kwa dhati'

kwani ukicheat ni kwamba haumpendi mpenzio,..........nimeelewa na sitarudia
 
watu wana upec eehh...hamna week kwenye relation tayari mnabatizana majina...kazi ipo.
<br />
<br />

Mae kwani wewe umeelewa ni mahusiano gani? Si kajisemea mwenyewe ni ya kuchiti na aliyechiti naye anajua jamaa bado ana mtu wake ....
 
Back
Top Bottom