Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,352
- 1,485
- Thread starter
- #41
Noted mkuu, ndio maana nikaona nirudishe mpira kwenu wadau tulianza pamoja hilik
Achana nae huyo mamz, ni mtu wa fursa na kudhihirisha hilo ipo siku atataman kurudi. Usije ukajilegeza tena kama mlenda. Kuwa mtu wa kauli 1 kaa kimya.