Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,869
- 8,888
Jamani hembu niambie kama kuna mtu amekutana na haya na kama ni kweli au la.
Nina Sisters wangu wawili niliwapeleka pale kwa Interview ya Kozi ya Ualimu.
Waliingia kwenye Interview Huku wamevaa Shungi kama kawaida.
Then baada ya Interview wakawa wamefanya vizuri na kuambiwa kwamba wamefaulu.
Ila Masharti ni kwamba hawatotakiwa kuvaa shungi na wanatakiwa kuacha vichwa wazi watakapoanza masomo rasmi kwa muda wote.
Sasa kwa sie waislam ni tatizo kubwa.
Ila cha kushangaza ni kwambwa kuna watawa(masisters)wao hawaambiwi kitu na kuruhusiwa kuvaa kama wanavyotakiwa na kufunika vichwa kwakuwa ni watawa.
Je hii ni kweli ni utaratibu wao au la?
Na kama ni kutokufunika kichwa kwa Mabinti waumini wa Kiislam je inakuwaje masisters(watawa)wao wanaruhusiwa?
Na Kibaya Zaidi ni kwamba interview niliambiwa ni Tsh:15,000 kwa kila mmoja,na masharti hayo hawakuambii mwanzo,maana kama ingekuwa ni mwanzo baadhi ya watu wangeingia mitini.Ila interview wanakuachia uingie kama ulivyokuja,baada ya interview ndio wanakuambia kwamba umefauli ila shungi hapa hazitakiwi ila kwa watawa tu.No refund for Interview fees.
Montessori ni wazuri sana na wanafanya vizuri sana kitaalum na wahitimu wao ni mahiri sana kwenye nafasi zao
Je nikweli huu ni utaratibu au mwalim alieutoa alikuwa na sababu zake binafsi
Nina Sisters wangu wawili niliwapeleka pale kwa Interview ya Kozi ya Ualimu.
Waliingia kwenye Interview Huku wamevaa Shungi kama kawaida.
Then baada ya Interview wakawa wamefanya vizuri na kuambiwa kwamba wamefaulu.
Ila Masharti ni kwamba hawatotakiwa kuvaa shungi na wanatakiwa kuacha vichwa wazi watakapoanza masomo rasmi kwa muda wote.
Sasa kwa sie waislam ni tatizo kubwa.
Ila cha kushangaza ni kwambwa kuna watawa(masisters)wao hawaambiwi kitu na kuruhusiwa kuvaa kama wanavyotakiwa na kufunika vichwa kwakuwa ni watawa.
Je hii ni kweli ni utaratibu wao au la?
Na kama ni kutokufunika kichwa kwa Mabinti waumini wa Kiislam je inakuwaje masisters(watawa)wao wanaruhusiwa?
Na Kibaya Zaidi ni kwamba interview niliambiwa ni Tsh:15,000 kwa kila mmoja,na masharti hayo hawakuambii mwanzo,maana kama ingekuwa ni mwanzo baadhi ya watu wangeingia mitini.Ila interview wanakuachia uingie kama ulivyokuja,baada ya interview ndio wanakuambia kwamba umefauli ila shungi hapa hazitakiwi ila kwa watawa tu.No refund for Interview fees.
Montessori ni wazuri sana na wanafanya vizuri sana kitaalum na wahitimu wao ni mahiri sana kwenye nafasi zao
Je nikweli huu ni utaratibu au mwalim alieutoa alikuwa na sababu zake binafsi