drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Baba ktk jina la yesu tunaomba zoezi la kuhesabu kura liwe la haki ktk jina la yesu tunakomesha kila uchakachuaji wa kila aina ktk jina la yesu kila atakae jaribu kuchakachua akaparalaizi ktk jina la yesu haki yako ikasimame kuanzia kura zitakapo hesabiwa mpaka zitakapo hesabiwa na kutangazwa tunaharibu kila mbinu za wizi wa kura, tunapofusha macho ya wachakachuaji, watakapojaribu kumwibia dr slaa wakajikute wananzidishia ktk jina la yesu.
Amen.
Amen.