Re:kumpa password..mupenzi

Biohazard

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
2,197
1,459
Hii nimeishuhudia kwa baadhi ya wapenzi hapa mjini tabia ya wapenzi kutaka kujua namba za siri za akaunti za wapenzi wao Naamaanisha ATM Cards, Email address na nyinginezo.

Je hii ni FAIR..?
 
Kwa kweli hiyo haisaidii chochote kwa sababu mtu unaweza kuwa na email addresses kadhaa. Unaweza ukapewa passwords za yahoo na hotmail na usijue kumbe mwenzio ana account na gmail pia.

Au hata anaweza akawa na accounts kadhaa yahoo na akakupa access katika moja na wewe ukadhani mwenzio ni mkweli na hafichi kitu kumbe wapi. Kwa hiyo kwangu haya mambo ya kupeana access za email na passwords za JF na Myface hayamaanishi chochote.
 
Za credit card it is okay!
Email address is looking for trouble n surely u will find them!
 
haisaidii hata kidogo,kunguru hafugiki tu,ila pia inaongeza uaminifu na kuaminiana si unajua tena uongo sometimes unajenga mapenzi
 
haisaidii hata kidogo,kunguru hafugiki tu,ila pia inaongeza uaminifu na kuaminiana si unajua tena uongo sometimes unajenga mapenzi

Sidhani kama inajenga uaminifu labda ingekuwa kila mmoja wetu ana email account moja tu. Lakini kwa vile mtu una uwezo wa kufungua email accounts nyingi sioni kabisa cha kumfanya mtu umwamini mwenzio kwa sababu tu kakupa access kwenye email yake.

Utajuaje kama ana email accounts zingine?
 
Za credit card it is okay!
Email address is looking for trouble n surely u will find them!
Duuh... hiyo imetulia lakini wanaume na wanawake wa siku hizi umpe ruksa kwenye kibwebwe.. sijui?
 
Kwa kweli hiyo haisaidii chochote kwa sababu mtu unaweza kuwa na email addresses kadhaa. Unaweza ukapewa passwords za yahoo na hotmail na usijue kumbe mwenzio ana account na gmail pia.

Au hata anaweza akawa na accounts kadhaa yahoo na akakupa access katika moja na wewe ukadhani mwenzio ni mkweli na hafichi kitu kumbe wapi. Kwa hiyo kwangu haya mambo ya kupeana access za email na passwords za JF na Myface hayamaanishi chochote.
Sawa sawa watu wanajenga nyumba kwa siri so account ni kitu kidogo sana. Halafu after all Accounts are meant for Privacy and not anything else.
 
Kama mwili wako unashea nae kwanini password ushindwe?!

hivi ni kigezo kweli cha kukabidhiana hata maakuli ya kibenki..........................na kama unashirikiana na wengi basi wote waichambue akaunti yako lol......
 
Kama mwili wako unashea nae kwanini password ushindwe?!
Hahahahahahaha ...... Bora kushea mwili kuliko siri yako hawa binadamu ni wakupita tu huwezi kurisk kupita kiasi hicho.
 
Na mimi nimeliona saaana hilo... ila personally naona kua it is better watu mjuane kwanza... mapenzi ya kuanza kwa kasi in the sense kua eti mwa share kila kitu mpaka mambo ya passwords mara nyiingi saana huishia in a suffocation mode.... maana hapo hamna privacy sehemu yoyote... Password ya ATM, ina maana basi utatoa ya JF, Email, n.k... Password ni nzuri kugaiana msha juana vyema hasa the in and out ya huyo mpenzi wako...
 
hivi ni kigezo kweli cha kukabidhiana hata maakuli ya kibenki..........................na kama unashirikiana na wengi basi wote waichambue akaunti yako lol......

Ndo hivyo...nashangaa watu wanataka kuthaminisha email...bank...social network accounts na simu zaidi ya wanavyothaminisha miili yao!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom