First time nafanya sex nilikuwa na 21 yrs lakini cha ajabu imekua karaha na sio raha tena maana kila ninapo sex na wasichana wamekuwa wakizimia na nimekamatwa na polisi mara 3 mara ya 3 ilikuwa 28-8-2011 polisi Kigamboni.
Msichana wa kwanza first aid hakuzinduka mpaka hospital na wapili hivyohivyo ila watatu alizinduka kwa first aid japo ilichua muda, majibu ya daktari nikwamba mapigo ya moyo yalikwenda kasi isiyo kawaida wakati tunasex na kasema ni hatari inaweza kusababisha kifo na watatu alipozinduka hajitambui wala kuniambia chochote sasa nahisi siku ntafukwa maisha maana jamii haitanielewa.
Bahati nzuri wote hawakuwa wanafunzi maana ningeumbuka mpaka sasa ningekuwa jela, sasa nahofu kubwa inayopelekea kupoteza hisia maana siinjoy kabisa maana wanazimia wakati nakuwa sijafika hata goli moja na wanapozinduka nakuwa sina hamu nao tena, nao wanaogopa nikiwagusia so mimi sijui lakufanya nn ili nifurahie mapenzi. I'm serious nahitaji msaada ama ushauri
Msichana wa kwanza first aid hakuzinduka mpaka hospital na wapili hivyohivyo ila watatu alizinduka kwa first aid japo ilichua muda, majibu ya daktari nikwamba mapigo ya moyo yalikwenda kasi isiyo kawaida wakati tunasex na kasema ni hatari inaweza kusababisha kifo na watatu alipozinduka hajitambui wala kuniambia chochote sasa nahisi siku ntafukwa maisha maana jamii haitanielewa.
Bahati nzuri wote hawakuwa wanafunzi maana ningeumbuka mpaka sasa ningekuwa jela, sasa nahofu kubwa inayopelekea kupoteza hisia maana siinjoy kabisa maana wanazimia wakati nakuwa sijafika hata goli moja na wanapozinduka nakuwa sina hamu nao tena, nao wanaogopa nikiwagusia so mimi sijui lakufanya nn ili nifurahie mapenzi. I'm serious nahitaji msaada ama ushauri