RE: Enjoy the latest version of methali made in Kenya...

Nyaralego

JF-Expert Member
Nov 13, 2007
732
28
Enjoy the latest version of methali made in Kenya...

1. Aliye na macho hanywi Yokozuna
2. Mgema akisifiwa, watu wanakufa Nyahururu.
3. Umoja ni estate, utengano ni set book
4. Wapishi wengi, chakula hupikwa haraka.
5. Mtegemea Noodles, haachi kulala njaa
6. Cha mlevi huliwa na Mututho ama makarao
7. Mtoto akililia wembe anataka kukata sehemu nyeti auze
8. Uzuri wa mke si sura, ni kujua fulu fulu condition
9. Mpiga ngumi ukuta, ni Sonko
10. Mbio ya 800 huishia kwa Rudisha.
11. Usipoziba ufa, majirani watakuchungulia
12. Mwenda pole ni bi arusi.
13. Aliye juu bila shaka anatengeza roof ama aerial ya TV
14. Ukistaajabu ya Musa haujasikia ya Onyancha
15. Mwenye nyege haambiwi tazama
16. Kidole kimoja ni jina ya kanisa ya Hellon (finger of God)
17. Fahari wawili wakipigana, call rates zinashuka (safcom na Zain)
18. Aliyembali haonekani
19. Ahsante ya punda usiifananishe na ya ng'ombe
20. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na MAMAWE
21. Usimwone paka amenyeshewa ukafikiri hawezi kumla mtoto.
22. Asiye na bwana aelekee KICC
23. Mjinga akierevuka,walimu waende nyumbani
24. Kikulacho kina appetite
25. Dawa ya kuku ni Kenchic
26. Haba na haba weka kwa M-KESHO
27. Mwenda Tagged na Twitter marejeo ni Facebook.
 
Enjoy the latest version of methali made in Kenya...

1. Aliye na macho hanywi Yokozuna
2. Mgema akisifiwa, watu wanakufa Nyahururu.
3. Umoja ni estate, utengano ni set book
4. Wapishi wengi, chakula hupikwa haraka.
5. Mtegemea Noodles, haachi kulala njaa
6. Cha mlevi huliwa na Mututho ama makarao
7. Mtoto akililia wembe anataka kukata sehemu nyeti auze
8. Uzuri wa mke si sura, ni kujua fulu fulu condition
9. Mpiga ngumi ukuta, ni Sonko
10. Mbio ya 800 huishia kwa Rudisha.
11. Usipoziba ufa, majirani watakuchungulia
12. Mwenda pole ni bi arusi.
13. Aliye juu bila shaka anatengeza roof ama aerial ya TV
14. Ukistaajabu ya Musa haujasikia ya Onyancha
15. Mwenye nyege haambiwi tazama
16. Kidole kimoja ni jina ya kanisa ya Hellon (finger of God)
17. Fahari wawili wakipigana, call rates zinashuka (safcom na Zain)
18. Aliyembali haonekani
19. Ahsante ya punda usiifananishe na ya ng'ombe
20. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na MAMAWE
21. Usimwone paka amenyeshewa ukafikiri hawezi kumla mtoto.
22. Asiye na bwana aelekee KICC
23. Mjinga akierevuka,walimu waende nyumbani
24. Kikulacho kina appetite
25. Dawa ya kuku ni Kenchic
26. Haba na haba weka kwa M-KESHO
27. Mwenda Tagged na Twitter marejeo ni Facebook.
Hiyo ya red Mmm Imekaa vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom