Bob_Dash
Member
- Nov 1, 2010
- 90
- 13
Katika post za awali kuna mtu mmoja ameuliza swali hilo, mimi naona nimjibu kwa mtazamo wangu binafsi, kwa ufupi Dr Slaa ataingia Bungeni muda si mrefu, kumbuka huwa kunakuwaga na chaguzi mdogo kwamfano endapo Mbunge KAVUTA, na nina hakika kwa hii mijeredi waliyochapwa CCM nafasi hizo za jammaa Wabunge wa CCM kuvuta ni kubwa mno, na nina uhakika akigombea ubunge kwenye jimbo lolote lile nafasi ya kushinda is almost 100%, hasa ukizingatia TIMU YA MACHAMPION WA CHADEMA iliyopo Bungeni kwa sasa.