buyegiboseba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 535
- 145
Nimemaliza kuhesabiwa kama dakika moja iliyopita,karani aliyenihesabu ametumia dodoso lililotolewa photocopy, amedai wameambiwa yameisha na wamepewa kopi.
Ni hapa manisapaa ya Lindi. Je hii ni halali kutumia dodoso kopi wakati dodoso zina serial number?
Kiukweli hali hii imenigutua sana na kuwa ha hofu na ufanisi wa zoezi hili.
Wadau mnasemaje juu ya hili.
Ni hapa manisapaa ya Lindi. Je hii ni halali kutumia dodoso kopi wakati dodoso zina serial number?
Kiukweli hali hii imenigutua sana na kuwa ha hofu na ufanisi wa zoezi hili.
Wadau mnasemaje juu ya hili.