Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,540
- 12,398
Mkumbushe kuwa likizo ni hitaji la kisheria la mtumishi, miradi ilikuwepo wakati standing order inakuwa established, afanye mambo kwa mujibu wa sheria kanuni na taratibu!!!Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amefuta likizo kwa watumishi wote wa Serikali mkoa huo ambao idara zao zinahusika na ujenzi wa miradi ya miundombinu ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na madawati ambapo tayari Serikali imetoa fedha za miradi hiyo.