Wakati tunakua miaka ya 90 tulikuwa tukiogopa hilo eneo la Buzi maana kulisifika uwepo wa wachawi wanaokula nyama za watu, wahanga wakubwa wakiwa machinga.
Tukirudi kwenye mada, ni bora mamlaka husika ikasikia hiki kilio haraka iwezekanavyo na kupata ufumbuzi haraka kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Jaribu kufanya mawasiliano na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bukoba, mama Fatina Laay, ni mama msikivu sana na myenyekevu sijawahi kuona mkurugenzi wa namna hii, hakika huyu mama wa kipekee, hata ungempigia simu usiku wa manane ukiwa na shida anakusikiliza na anakusudia , hana majivuno wala kiburi, anasikiliza mtu yeyote na anawajibika kwelikweli, huyu mkuu wa Wilaya inaweza kuwa ngumu kukusikiliza jaribu kumtafuta Mkurugenzi atakutumia wataaluma haraka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.