tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salama Jumamosi atakutana na wadau wote wa Barabara wa Mkoa ili kujua matatizo ya Barabara na mikakati ya kuyatatua.
Wadau hao ni Tanroads,Sumatra nk
Channel ten na Magic FM redio watarusha matangazo hayo moja kwa moja kutoka ukumbi wa Mwl Nyerere.
Wadau hao ni Tanroads,Sumatra nk
Channel ten na Magic FM redio watarusha matangazo hayo moja kwa moja kutoka ukumbi wa Mwl Nyerere.