TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Sasa bavicha wameingiaje hapo,, dada una mimba changa nn??!We muache aendelee kufuata pambio za wana bavicha
Sasa bavicha wameingiaje hapo,, dada una mimba changa nn??!We muache aendelee kufuata pambio za wana bavicha
ha ha haFukuzia mbali machinga wadio wastaarabu,panga maeneo mazuri kwa ajili yao,waelekeze huko,wakibaki kwenye lami nawakanyaga na gari,akyamungu sitanii,mmoja yupo hosp tayari.
Kwel kabisa Sasa daressalam imekua Kama ziziBora RC aondolewe lakini aache alama nzuri ya mji msafi badala ya kuwa na mji mchafu kisa cheo, vyeo vilikuwepo na vitaendelea kuwepo.
Ukweli wako Wewe Pimbi ni upi? Pumbavu.Punguza UONGO MKUU
Lazima tuwe wastaarabu kidogoKwel kabisa Sasa daressalam imekua Kama zizi
Na mimi ndio nilikuwa nafikiria hivi kweli kura ndio zinamuweka MTU pale kwenye kile KITI !! CCM inawajua WATANZANIA kuliko raia wenyewe wanavyo jifahamu.Kwani kumbe ccm huwa wanategemea sanduku la kura ili kushinda uchaguzi?
Sema ndio hutumika kuhalalisha.Na mimi ndio nilikuwa nafikiria hivi kweli kura ndio zinamuweka MTU pale kwenye kile KITI !! CCM inawajua WATANZANIA kuliko raia wenyewe wanavyo jifahamu.
Hao machinga wanaweza tolewa na CCM ikashinda kwa kishindo uchaguzi MKUU.
kwanza asilimia kubwa ya vijana huwa hawapigi kura kabisa .
Kemea hilo pepo la njano ulilonaloFukuzia mbali machinga wadio wastaarabu,panga maeneo mazuri kwa ajili yao,waelekeze huko,wakibaki kwenye lami nawakanyaga na gari,akyamungu sitanii,mmoja yupo hosp tayari.
Wapiga Kura wa siku ni wasomi na wanaopenda vitu viwe kwa level za kimataaifa Ila mtu anayepanga bidhaa hovyo hovyo hawezi kuwa hata na kitambulisho cha Kura pia ni mtu wa kuhamahama sehemu aliyojiandikishia Ila kwenye ushabiki kama kwenye mikutano kwaajili ya kushabikia hakosekani hivyo Kama ni swala la Kura hizo Kura zipo kwa makundi ya wanaojielewa endapo wakikuelewa na sera zako zikiwalenga.Ninkweli mama amewekeza vijana na wanawake zaidi na wazee....ili apate alope