Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,063
Wasalaam wana jamvi!
Pamoja na matatizo yetu hasa ya Corona kama watu wengine!
Pamoja na watu wetu hasa Madereva kulalamika dhidi ya kutendewa vibaya uko mipakani lakini sisi watanzania tumekuwa na utulivu na kutowafanyia vibaya au kuto wazuia wakenya wala nchi nyingine kuingia Tanzania !
Nilifurahishwa sana na msimamo wa Rais wa kutokubali kuingia mkenge wa kufunga mipaka na kuwabagua Raia wa nchi zingine kwa kigezo cha Corona na kulipiza kisasi!
Kauli ya Martin Shigella mkuu wa mkoa wa Tanga kwakweli imeichafua hotuba ya Rais na imeenda kinyume na kauli ya Rais ambayo ilikataza kufungiana na kubaguana!
Martin Shigela amezalisha matatizo yasiyo na msingi kabisa alitakiwa kuyatafakari kabisa!
Matatizo haya yanapaswa kuwatatuliwa bila kukurupika!
Kimsingi naona Martin Shigela amekosea sana alipaswa kutulia kwanza!
Pamoja na matatizo yetu hasa ya Corona kama watu wengine!
Pamoja na watu wetu hasa Madereva kulalamika dhidi ya kutendewa vibaya uko mipakani lakini sisi watanzania tumekuwa na utulivu na kutowafanyia vibaya au kuto wazuia wakenya wala nchi nyingine kuingia Tanzania !
Nilifurahishwa sana na msimamo wa Rais wa kutokubali kuingia mkenge wa kufunga mipaka na kuwabagua Raia wa nchi zingine kwa kigezo cha Corona na kulipiza kisasi!
Kauli ya Martin Shigella mkuu wa mkoa wa Tanga kwakweli imeichafua hotuba ya Rais na imeenda kinyume na kauli ya Rais ambayo ilikataza kufungiana na kubaguana!
Martin Shigela amezalisha matatizo yasiyo na msingi kabisa alitakiwa kuyatafakari kabisa!
Matatizo haya yanapaswa kuwatatuliwa bila kukurupika!
Kimsingi naona Martin Shigela amekosea sana alipaswa kutulia kwanza!