RC Stella Manyanya alikuwa kinara wa mgomo TANESCO enzi za Net group solution

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,998
144,329
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni na kuna msemo mwingine unasema nyani haoni kundule.Misemo hii miwili ndioi inaweza kumtambulisha vizuri mbunge wa viti maalum mkoa wa Rukwa eng.Stella Manyanya.Wakati Manyanya akimlaumu Dr.Steven Ulimboka kuwa kinara wa mgomo na hata kumfananishi na Adolf Hitler yeye mwenyewe alikuwa mmoja wa vinara wa mgomo wa wafanyakazi wa TANESCO enzi za Net Group Solution.Habari hii kuhusiana na mbunge huyu inapatikana ktk gazeti la Tanzania Daima la trh 04/07/2012.
Sasa hapa tunapata picha halisi ya wabunge wetu na unaweza kujua nani ni mnafiki na nani yuko kutetea wananchi.
Hivi vitu maalum kwakweli ni tatizo kubwa sana ingawa hata wabunge wa kuchaguliwa nao baadhi ni tatizo ila hawa wa vitu maalum too mch.
 
Simshangai Fundi huyu wa umeme (Electrical Technician) kwa kua elimu ya umeme ilitakiwa awe juu ya nguzo. Ila hata hivyo kaingia mlango wa kutokea kwa Jk atasema kilichomfanya BATA aharishwe tangu anazaliawa. Chezeya M*haina KWERE wewe???????
 
Huyu mama siye yule aliyekuwa kwenye kamati ya Mwakyembe iliyomfanya waziri mkuu adharirishwe sana, aonewe sana na hatimaye kubwaga manyanya sorry manyanga?
 
Kwahiyo yeye alikuwa nani? Mke wa Hitler?

Huyu kishoka anayejiita eng hamnazo, ninawapa pole watu wa Rukwa!
 
Mwenye access na hizi publications zake, naomba anirushie. Labda nitapata sehemu ya kumtetea. (Ref. CV yake kwenye tovuti ya Bunge)
S.M. Manyanya: Reinforcement of Distribution Network in Kariakoo area, Dar es Salaam1996
S.M.Manyanya: Mimba za Utotoni ni kikwazo cha Maendeleo ya Wanawake, Mtanzania Gazeti 19, Songea2009
S.M.Manyanya: Wajasiriamali wapewe elimu kujikomboa kiuchumi, (Majira), Songea2009
S.M.Manyaya: Challenges Facing Enterpreneurs in Mbinga, Dar Es Salaam.2007
S.M.Manyaya: The Effectiveness of Enterpreneurship Incubators in fostering income generating activities, Dar Es Salaam.2009
 
Alikuwa bado kupata Richmond, baada ya hapo akaishia. Binadamu ogopa sana.
 
Mwenye access na hizi publications zake, naomba anirushie. Labda nitapata sehemu ya kumtetea. (Ref. CV yake kwenye tovuti ya Bunge)
S.M. Manyanya: Reinforcement of Distribution Network in Kariakoo area, Dar es Salaam
1996
S.M.Manyanya: Mimba za Utotoni ni kikwazo cha Maendeleo ya Wanawake, Mtanzania Gazeti 19, Songea
2009
S.M.Manyanya: Wajasiriamali wapewe elimu kujikomboa kiuchumi, (Majira), Songea
2009
S.M.Manyaya: Challenges Facing Enterpreneurs in Mbinga, Dar Es Salaam.
2007
S.M.Manyaya: The Effectiveness of Enterpreneurship Incubators in fostering income generating activities, Dar Es Salaam.
2009

Hizi zote ni unpublished articles. Ni sawa na wewe kuanzisha thread hapa JF na kuanza kutoa mawazo yako.
 
Back
Top Bottom