Shigella ni aheshimu kauli ya waziri. Anaichafua CCM yetu huyuSerikali ya ccm ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili rc anakuja na lake..
Shigella ni aheshimu kauli ya waziri. Anaichafua CCM yetu huyuSerikali ya ccm ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili rc anakuja na lake..
Kwani Kuna nchi za Kenya ngapi?maana zuio lilisema nchi ya KenyaKenya wana serikali za majimbo.
Nairobi na Mombasa ni county tofauti bwashee!
Huyo naye angekaa kimya, kama katumwa, kuwashtua wakenya, waje wayazuie huko, kichwa panzi kabisa!
Everyday is Saturday...............................
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigella amesema habari zilixoenea mitandaoni kwamba Kenya imezuia mahindi kutoka Tanzania hazina ukweli wowote.
Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Huenda maana kiakili kwa hili ni kama Bashite, ropoka.Hivi naye ni Kanda ya ngosha?
RC mkoa wa Tanga wasiliana na Naibu waziri wa Kilimo Mh Bashe.Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigella amesema habari zilixoenea mitandaoni kwamba Kenya imezuia mahindi kutoka Tanzania hazina ukweli wowote.
Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wamesharudi kwenye mstari!Wakenya wanazingua tu
Ova
Tutapoteza muda - hawa watu hawabebeki, ujuaji mwingi na majivuno hilo ndilo tatizo lao kuu - wanachukulia Watanzania kama mazoba vile!!Tunataka uhusiano mzuri wa kindugu na Jamhuri ya Kenya
Hivi kwa haya matamko yenu ya Waziri na huyo Rc bado unahoji kwanini mnachukuliwa mazoba? Wajua swali lako linaonyesha kuwa wew uko hivyo pia?Tutapoteza muda - hawa watu hawabebeki, ujuaji mwingi na majivuno hilo ndilo tatizo lao kuu - wanachukulia Watanzania kama mazoba vile!!
Wajati fulani Mwl. Nyerere aliwahi kusema kwamba ukitaka kuwapa findisho Wakenya funga mipaka ndio watajuwa umuhimu wa Tanzania kwa ustawi wa Taifa lao, na kweli Tanzania ilipo funga mipaka, utawala wa Kenya went down on her knees begging Tanzania yahishe - tukitaka kukomesha Kenyan inept arrogance basi Serikali yetu irudie mbinu alizo tumia Mwl. J.K. Nyerere kuwapa fundisho la mwaka - Wakenya wakumbuke kwamba wao ndio wanatu hitaji zaidi kuliko sisi.
Sasa unapotosha maksudi; la sivyo ni ujinga ulionao kuhusu utendaji na maamuzi ya serikali ya Kenya kuhusu jambo kama hili.Kenya wana serikali za majimbo.
Nairobi na Mombasa ni county tofauti bwashee!
Ni ngumu sana kupata tamanio lako hili.Tunataka uhusiano mzuri wa kindugu na Jamhuri ya Kenya
Hata uingereza kuna ITVKwani ITV ziko ngapi bwashee?
atapataje Kiki.Utadhani tuna serekali zaidi ya moja.....
kwanini huyo Shigella asizingumze kwanza na naibu waziri Bashe.....
ambaye yy alikuwa on point jana?
Tunataka uhusiano mzuri wa kindugu na Jamhuri ya Kenya
Hiyo Sumu mbona sisi tunaila kila siku tena tunazidi kunawiriUku mkiwapelekea sumu, we fala sana
Hiyi ni mipaka miwili tofauti ujue..!! Holoholo iko Tanga huko ndo wako free wanafavusha mazao kama kawaida..!! Lakini tatizo lipo Namanga ndo kuna shida.Serikali ya ccm ni kama imechanganyikiwa, waziri amasema hili rc anakuja na lake..
Huku rais anasema korona hakuna ma waziri amasema lake..
Yani serikali imechanganyikiwa yote!!