johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,665
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigella amesema habari zilizoenea mitandaoni kwamba Kenya imezuia mahindi kutoka Tanzania hazina ukweli wowote.
Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!