RC Shigela: Marufuku Mtanzania kupimwa Corona nchini Kenya kama ukishapimwa Tanzania. Itawaletea matatizo ya ubongo

Kupimwa Kenya ni lazima...
maana serekali ya Tanzania imesema haina wataalau madhubuti wa kupima corona katika ile taarifa ya tume ya uchunguzi ya maabara ya taifa.

Sasa kama mmetangazia ulimwengu kuwa hamna wataalamu wa kupima kosa ni la nani? Nyie wenyewe mmeshawaaminisha kuwa majibu ya huku hayaaminiki,,,mnataka waamini hivyohivyo?.

Nataka msimame mseme tunao wataalamu na mtuambie walipata wapi trainings,Zaidi ya hapo muache kula matapishi yenu kwa mataarifa ya kupika.

Taarifa nyingine mnawaaminisha watu hakuna tatizo ,hao mnaowaita wapiga kura ,wameacha kuvaaa barakoa na kunawa,panda daladala ujionee.

Lakini ninafurahi kuna watu wengine akili zinawarudia maana wakiingia hospitali kama huna barakoa unafukuzwa kama paka,maana hosipitali sio kituo cha kupiga kura. kama ninyi ni wanaume kweli pigeni marufuku uvaaji wa barakoa mahosipitalini.

Endeleeni kuwadanganya wapigakura maana wao walizaliwa kupiga kura tu hawana hata uwezo mdogo tu wa kujiamulia mambo yao binafsi ya msingi

Umeandika pumba zenye hisia kali ajabu watu 9 nao wamekuunga mkono.nchi bado ina wajinga lukuki hii.

Ni lini serikali ilitangaza haina wataalamu wa kupima corona??kama una ushahidi weka hapa.

Ni kweli watu hawavai barakoa,kwa hiyari yao,na baadhi ya maeneo wanashurutishwa kama polisi au benki.hii ina uhusiano gani na watu hao kupimwa kenya baada ya kuonekana hawana maambukizi kwa vipimo tanzani?.

Barakoa unazozungumzia ni zile ulizoagizwa na mabeberu uzivae au hizi za magufuli za vitenge!!!!,kama ni hizo umejiridhishaje na ubora wake,ukaja kutilia shaka vipimo anavyotumia kutoa mahitimisho yake!

Huu ugonjwa imekuwa kete ya wajanja kushika vichwa nundu kama wewe.
Kwa sasa marekani inaongoza kwa vifo ulimwenguni,ila juzi walikuwa kwenye maandamano ya mauaji bila tahadhali ya aina yoyote,wakati huo ulikuwa busy unakula mihogo ushibe wala huna habari kutafakari.
 
Uamuzi mzuri lakin lazima akutane na wa upande wa pili sasa

Upande wa pili waonane kuhusu nini?
Kenya wana msimamo wao, cha msingi ni kila mtu asivuke upande wa pili, mzigo watabadilishana hata mpakani ndo njianpekeeiliyo sarama.
 
Upande wa pili wao wanasemaje, sidhani kama kauli yake ni kauli ya kenya,
Yanu ni kama anaipangia Kenya nini cha kufanya dhidi ya madereva wanaoingia nchini mwao kutoka Tanzania.

Izo ni kauli za mihemko, kama Kenya wataendelea kushikilia msimamo wao lazima wapimwe kauli yake itakua na maana gani.

suala lamsingi lilikua yeye na viongozi wa Kenya wakae mezani waibuke na msimamo unaofanana lakini sio yeye kuipangia nchi nyingine cha kufanya. hili gonjwa LA CIVID-19 ni vita kwaiyo kila taifa lina mbinu zake za kupambana kuhakikisha wanaibuka na ushindi.

Ni kama sisi tulivyoamua kumuachia mungu atupiganie Vita yetu contraly wao wameamua wapambane wenyewe.
 
Upande wa pili wao wanasemaje, sidhani kama kauli yake ni kauli ya kenya,
Yanu ni kama anaipangia Kenya nini cha kufanya dhidi ya madereva wanaoingia nchini mwao kutoka Tanzania.
Izo ni kauli za mihemko, kama Kenya wataendelea kushikilia msimamo wao lazima wapimwe kauli yake itakua na maana gani.
suala lamsingi lilikua yeye na viongozi wa Kenya wakae mezani waibuke na msimamo unaofanana lakini sio yeye kuipangia nchi nyingine cha kufanya.
hili gonjwa LA CIVID-19 ni vita kwaiyo kila taifa lina mbinu zake za kupambana kuhakikisha wanaibuka na ushindi.
Ni kama sisi tulivyoamua kumuachia mungu atupiganie Vita yetu contraly wao wameamua wapambane wenyewe.
Tulishakaa tukakubaliana kwamba kila nchi itapima watu wao, Kenya imekiuka hayo makubaliano na kuanza kuwapima madereva wa Tanzania, hakutokua na makubaliano wala mazungumzo mapya, na hakuna dereva wa Tanzania atakayepimwa Kenya.
 
Anamaanisha nini?

Suala la madereva wa Tz kupimwa Covid wakiingia Kenya ni suala la taratibu na sheria za Kenya, RC wa Tz hawezi kuwapangia Wakenya cha kufanya. RC wa Tz awapangie watu wake tena huko huko kwenye mkoa wake tu.
umemwelewa vizuri, watanzania hawapimwi mara mbili, kama sheria zenu haziruhusu; faulisha mizigo/abiria au kuwa na madereva kwa upande wa Tanzania na Kenya.
 
Tulishakaa tukakubaliana kwamba kila nchi itapima watu wao, Kenya imekiuka hayo makubaliano na kuanza kuwapima madereva wa Tanzania, hakutokua na makubaliano wala mazungumzo mapya, na hakuna dereva wa Tanzania atakayepimwa Kenya.
unadhani kitendo cha madereva wetu kukataa kupimwa na ilhali kenya bado wameshilia msimamo "NO TESTING NO ENTRY" matokeo yake yatakua nini.
 
Anamaanisha nini?

Suala la madereva wa Tz kupimwa Covid wakiingia Kenya ni suala la taratibu na sheria za Kenya, RC wa Tz hawezi kuwapangia Wakenya cha kufanya. RC wa Tz awapangie watu wake tena huko huko kwenye mkoa wake tu.
Sasa Kenya ni wahuni.mbona walikubali kila nchi ipime watu wake?
kama vipi wakenya wasije na sisi tusiende Kenya.kwisha.
 
unadhani kitendo cha madereva wetu kukataa kupimwa na ilhali kenya bado wameshilia msimamo "NO TESTING NO ENTRY" matokeo yake yatakua nini.
Matokeo yatakua kama yalivyo sasa hivi, NO ENTRY to BOTH SIDES, hadi pale Kenya itakapokubali kutekeleza makubaliano tuliyofikia.

Tanzania hatutokaa tena kwenye makubaliano mapya na watu wanafiki wadioheshimu maamuzi ya pamoja.
 
Mkuu wa Tanga Martin Shigela amekutana na kufanya mazungumzo na madereva wa Tanzania katika mpaka wa Tanzania na Kenya Horohoro kwa lengo la kupata suluhisho la mgogoro kwa madereva hao kuzuiliwa kuingia Nchini humo.

Amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa virusi vya corona nchini Kenya, baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini, kitendo kinachoweza kuwasababishia matatizo ya upungufu wa akili na kuathiri ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14.

Shigela amewataka Wamiliki wa magari kuajiri madereva wawili ili waweze kupokezana kwa lengo la kupunguza changamoto za usumbufu wa upimaji wa virusi vya corona.

Huku ni kukosa akili. Unawapangia Kenya nini cha kufanya kwa kusema marufuku kuwapima watu wetu? Unaifanya Kenya kuwa sehemu ya mkoa wa Tanga?

Kama Tanzania hakuna Corona basi misipime madereva, waacheni wakapimwe Kenya.

Ajabu mnakataa vipimo vya Kenya, lakini mnataka kuwalazimisha wakubali vya Tanzania, halafu mnajiita wanadiplomasia. Utumbo wa kuku kabisa.
 
Huku ni kukosa akili. Unawapangia Kenya nini cha kufanya kwa kusema marufuku kuwapima watu wetu? Unaifanya Kenya kuwa sehemu ya mkoa wa Tanga?

Kama Tanzania hakuna Corona basi misipime madereva, waacheni wakapimwe Kenya.

Ajabu mnakataa vipimo vya Kenya, lakini mnataka kuwalazimisha wakubali vya Tanzania, halafu mnajiita wanadiplomasia. Utumbo wa kuku kabisa.
Kilichokushinda kuangalia hiyo video ni nini!!!unachangia kwa mihemko ya kisiasa tu!!!

Kama ungeingalia ungegundua mkazo umewekwa kwa wamiliki wa vyombo.
 
Sisi waafrika tuna matatizo makubwa sana hakuna mazingira yenye usalama kufanyia kazi kama madereva wa ma lorry. Shughuli yote naturally ni kama safe distancing dereva wa lorry ata kama ana COVID anaweza mwambukiza nani huko njiani?

Vitu vingine ni procedures tu za kwenye kushusha mizigo na kupakia watu wavae barakoa na protection gear zingine.

Kama kusambaza COVID ni huo utaratibu mpya wa kubadilishana magari mpakani kama dereva mwingine alikuwa nao kuingia kwenye gari lake huko sasa ndio kwenda kukutana na virus.

We Africans are a special breed ‘haki ya mungu’ lazima tutafute sababu ya kujivuruga tu.
 
Back
Top Bottom