RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,898
141,830
Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe

RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.

Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.

Chanzo: ITV habari!

Kazi Iendelee
 
Hivi bado Kuna wakuu wa mikoa ambao wana hamu sana ya kupigwa mti kimasihara?
Unawezaje kuja na hayo mapendekezo?
Hivi tunajua gharama za kuanzisha mkoa mpya na kuuendesha?

Kabla ya Chato kuwa mkoa, nadhani uindwe kwanza hii mikoa.
1. Butiama.
2. Kisarawe.
3. Lupaso.
4. Msoga.

Itifaki ni muhimu kuzingatiwa kwanza.
 
Hapa Wana ~Ccm Wanaguna Tu πŸ˜₯πŸ˜£πŸ˜πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜
Toka Pepo Mchafu!!!πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒ
Shindwa πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜‰
Legea Kama Mlenda πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€
 
Tutakija ufuta naapa kama aishivyo bwana wa majeshi ule uwanja utakuwa hospitari ya tiba ya moyo
 
Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe

RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.

Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.

Source: ITV habari!

Kazi Iendelee


Lakini kwa upande wangu naona ni poa kabisa. Hizi wilaya japo juu ziko mbali sana na makao makuu ya mikoa iliyo. Mfano Ngara to Bukoba ni mbali kuliko Ngara to chato. Kwa upande wangu naona imetulia tu.
 
Hapa Wana ~Ccm Wanaguna Tu πŸ˜₯πŸ˜£πŸ˜πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜
Toka Pepo Mchafu!!!πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒ
Shindwa πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜‰
Legea Kama Mlenda πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€
Hahahaaaa..... Na sisi tutaunda mkoa wa Rombo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom