mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Polen na majukum
Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema Watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua Mabaa na kwenda disko.
Ikiwa kama muumin ambae naungana na Magufuli katika kuamin kuwa Mungu ndie aliyetulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa
Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat
Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena
Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona
Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu
Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema Watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua Mabaa na kwenda disko.
Ikiwa kama muumin ambae naungana na Magufuli katika kuamin kuwa Mungu ndie aliyetulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa
Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat
Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena
Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona
Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu