RC Paul Makonda tengua kauli tafadhali

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Mar 10, 2020
1,258
1,541
Polen na majukum

Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema Watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua Mabaa na kwenda disko.

Ikiwa kama muumin ambae naungana na Magufuli katika kuamin kuwa Mungu ndie aliyetulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa

Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat

Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena

Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona

Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu
 
''Mungu anataka tule bata, tufurahi, tusherehekee... Tusiishi kinyonge... ''

Labda mkuu wa mkoa ndivyo alivyowaza.
 
Za kuambiwa changanya na za kwako. Siku zote epuka kuchukua ushauri kwa mtu ambae ana maslahi ya moja kwa moja kwenye lile analolishauri.

Mtu anamiliki hotel halafu anakwambieni fungueni mahoteli na mabaa msherehekee. Hapo kila mwenye kuelewa keshajua dhamira halisi ni ipi, kulinda maslahi yake binafsi.

Kikubwa ni kujikinga wewe na familia yako kadri uwezavyo. Hao mnaowasilikiliza ni wanasiasa, kila wakisemacho lazima kiwe na manufaa yao binafsi.
 
Me najua walisema ijumaa tuombe jumamosi tuombe na jumapili tuombe ...ila tusisahau kupiga furaha


It is never too late to begin. Start now
 
Mkuu, nami pia ni mkristo kama wewe.
Naomba niwasilishe this verse...
IMG-20190604-WA0020.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polen na majukum

Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua ma baa na kwenda disko

Ikiwa Kama muumin ambae naungana na magufuli katika kuamin kua MUNGU ndie Alie tulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa

Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat

Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena

Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona

Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe vipi unataka kutuharibia sherehe yetu, sisi tumekwisha andaa sanitaiza za koo toka duka la Mohan na bei zake ni Kali kama sanitaiza yenyewe. Karibu Kigamboni Jumapili tupige kelele usije na hela. Sisi tutaanza kunywa usiku saa sita kuamkia Jumapili.
 
Wewe vipi unataka kutuharibia sherehe yetu, sisi tumekwisha andaa sanitaiza za koo toka duka la Mohan na bei zake ni Kali kama sanitaiza yenyewe. Karibu Kigamboni Jumapili tupige kelele usije na hela.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Polen na majukum

Paul Makonda tengua kauli yako ya kusema watanzania jumapil tusherehekee kuishinda Corona kwa kufungua ma baa na kwenda disko

Ikiwa Kama muumin ambae naungana na magufuli katika kuamin kua MUNGU ndie Alie tulinda dhid ya Corona sababu ya dua zetu na mapenzi yake mungu. Hatutakiwa kumshukuru MUNGU kwa kufanya anasa

Kiongoz Kama kiongozi ulitakiwa uitishe Tena hata siku tatu za kumuomba mungu na kumshukuru Sio tumshuru kwa kukufuru please makonda embu omba Toba na utengue kauli yako utangaze jumapil kua siku ya ibada Tanzania especially Dar na Sio siku ya kufungua ma baa na kufanya mapat

Tukumbuke hata nabii Musa baada ya kuokoa watu wake walipo kua tayar wako salama wakaanza kufanya maasi mussa alipo enda kuongea na MUNGU wakat anarud akakuta watu wanafanya Maas ya kumuuzi mungu kitu ambacho kilipelekea watu wale walio kua tayar wameokolewa kuadhibiwa Tena

Naomba mh tengua kauli kabla hujasababisha watu kufanya maasi mengine mengi ambayo maasi hayo ndio yalisababusha Mungu atuadhibu kwa kutuletea Corona

Onyo hii ni kwa wanao Amin MUNGU tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Au ana maslahi ya kisiasa na sikkuu ya IDDI maana usiwaamini wanasiasa
 
Ni lazima tutambue kuwa bado gonjwa lipo na watu wanakufa kweli huko duniani

AKILI KU MKICHWA NDUGU
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom