Gari la Mkuu wa Mkoa Arusha likiwa limembeba huku likitimua vumbi pembeni ya uwanja wa ndege wa Arusha, RC Mulongo alikuwa akiwahi uwanjani ili kujionea ndege ya Ethiopia boeing
767 ikiruka baada ya kufanikiwa kunasuliwa kwenye udongo ilipotua kwa dharura Jumatano, pembeni ni uziwa wa wavu wa uwanja wa ndege wa Arusha.