seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Moja kati ya wakuu wa Mikoa wenye hekima na busara ni huyu RC wa Dodoma ndugu Mtaka
Wakati wa kikao cha kuwekeana mkakati mkoani Dodoma RC Mtaka amesisitiza uongozi unapatikana kwa kuchaguliwa kwa kura au kuteuliwa, Lakini kuna wakati wananchi wanaweza kumpigia kura mtu mjinga na akawa kiongozi wao na kujiona Serikali ni kila kitu lakini sio sekta binafsi
Hata hivyo anasema Yawezekana mtu akateuliwa pia akawa mjinga na kuanza kudharau sekta binafsi, Anasema kwake sekta binafsi ni ufunguo wa Maendeleo, Hivyo amewaomba watumishi kuheshimu sekta binafsi
Mkuu wa mkoa wa Dodoma RC Mtaka anasema viongozi wa Serikali waheshimu sekta binafsi kwani kufanya kazi binafsi kunahitajika akili kubwa, Viongozi wengi wa Serikali hawawezi hata kujiajiri ingawa wanalipwa mshahara Wengine mpaka Milioni mbili, mpaka wakistaafu ndio wanaheshimu sekta binafsi
Suala la elimu amesisitiza viongozi hasa walimu wawafundishe vijana na waone fahari vijana wawe kama wao au zaidi, Amesema wengi viongozi serikalini wamefika pale kutokana na walimu wao, Hivyo kila mtu Dodoma ajisikie fahari kuona vijana wadogo wanasoma na kuwa kama wao kwa ushirikiano
Wakati wa kikao cha kuwekeana mkakati mkoani Dodoma RC Mtaka amesisitiza uongozi unapatikana kwa kuchaguliwa kwa kura au kuteuliwa, Lakini kuna wakati wananchi wanaweza kumpigia kura mtu mjinga na akawa kiongozi wao na kujiona Serikali ni kila kitu lakini sio sekta binafsi
Hata hivyo anasema Yawezekana mtu akateuliwa pia akawa mjinga na kuanza kudharau sekta binafsi, Anasema kwake sekta binafsi ni ufunguo wa Maendeleo, Hivyo amewaomba watumishi kuheshimu sekta binafsi
Mkuu wa mkoa wa Dodoma RC Mtaka anasema viongozi wa Serikali waheshimu sekta binafsi kwani kufanya kazi binafsi kunahitajika akili kubwa, Viongozi wengi wa Serikali hawawezi hata kujiajiri ingawa wanalipwa mshahara Wengine mpaka Milioni mbili, mpaka wakistaafu ndio wanaheshimu sekta binafsi
Suala la elimu amesisitiza viongozi hasa walimu wawafundishe vijana na waone fahari vijana wawe kama wao au zaidi, Amesema wengi viongozi serikalini wamefika pale kutokana na walimu wao, Hivyo kila mtu Dodoma ajisikie fahari kuona vijana wadogo wanasoma na kuwa kama wao kwa ushirikiano